Nifanye nini Mume wangu aache pombe na sigara? Hakuwa hivyo zamani

Nifanye nini Mume wangu aache pombe na sigara? Hakuwa hivyo zamani

I wish ningekua na hizo demand bt sina coz namsupport kwa kila kitu toka ameyumba kiuchumi

That’s the reason then
Kuyumba kwake huko
Lakini anafanya sivyo mwambie ulevi haumpunguzii matatizo bali unamuonhezea
Lazima atafute kazi yoyote ile
Kukaa bila shughuli ni mtihani ila anajiendekeza mwenyewe na hapo akijua utamlisha utanunulia na pombe

Mpe ukweli akiwa sober kuwa haya mapombe hayamsaidii na badala yake akatafute kazi
Yaani unayumba ndio uwe mlevi mbwa?
Hell no hata sisi tunapigika ila tunanyanyuka na kuoambana tena
 
That’s the reason then
Kuyumba kwake huko
Lakini anafanya sivyo mwambie ulevi haumpunguzii matatizo bali unamuonhezea
Lazima atafute kazi yoyote ile
Kukaa bila shughuli ni mtihani ila anajiendekeza mwenyewe na hapo akijua utamlisha utanunulia na pombe

Mpe ukweli akiwa sober kuwa haya mapombe hayamsaidii na badala yake akatafute kazi
Yaani unayumba ndio uwe mlevi mbwa?
Hell no hata sisi tunapigika ila tunanyanyuka na kuoambana tena
May be bt baada yakuona anafeel vbaya kuhusu kukaa bila kazi nilimshauri ajiendeleze hivyo akarudi chuo familia nzima tukamsupport na akafanya vzr first term baada ya hapo ndo majanga yakaanza pombe,sigara na usikute na bangi anavuta pia yaana tafrani
 
May be bt baada yakuona anafeel vbaya kuhusu kukaa bila kazi nilimshauri ajiendeleze hivyo akarudi chuo familia nzima tukamsupport na akafanya vzr first term baada ya hapo ndo majanga yakaanza pombe,sigara na usikute na bangi anavuta pia yaana tafrani

Inaonekana you are still young
Don’t get me wrong ni hapo uliposema mlim support kwenda chuo

Hebu chukua hata holiday kidogo mbadili mazingira hayo kama unaweza

Usitumie force kwake bali ushauri na kumpa nguvu ya kufanya kazi ni muhimu
 
Naona mnampa pongez huyo mwanamke kwamba anamjali mme wake,ila kiuhalisia hyo ndoa yenu inachangamoto kias kwaamba mwanaume ameamua amalizie stess zake kwny pombee!!jitathmin kama ulimkuta anakunywa kistaarabu ila baada ya kukoa kaamua kuwa mlevi ujue kuna %flan unachangia kumfanya awe vile..
 
Yaaani zamani hakuwa hivyo alikuwa anakunywa kistaarabu ila sasa amekuwa mlevi ambae hataki hata kuoga yaana kama karogwa vile.

Msaada nipate dawa au mawazo nijue cha kufanya maana ndoa imekuwa ngumu.

Kujiuwa sio suluhu .. huyo ni mpweke



Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Kama bado anajali familia pamoja na kunywa pombe zake nakushauri mfungulie tu mlango anapotoka kulewa hajalishi ni saa ngapi karudi.
 
Hapo lazima chanzo ni wewe cha jamaa hadi kuwa chapombe kupindukia,wanawake nyie mnazingua sana ndani ya nyumba ,hasa mkishaizoea ndoa basi hamtimizi majukumu yenu ya kindoa ,mnajaa gubu,kelele na kero nyingine hadi mtu anaona ashinde tu bar arudi home night Kali kuepuka vuvuzela la mke wake,jitafakari unakosea wapi hadi mmeo kabadilika hivyo.
 
Na akiiacha pombe anaanza umalaya.

Kila kitu kina alternative. Jua ulevi wa kupitiliza wa pombe ni mbadala wa kwenda kutafuta wanawake.

We ngoja aache Kama hajaanza kuleta watoto wa nje.

Cha msingi ongeza upendo. Asipooga , muogeshe, akishindwa kula mlishe na n.k.... atapunguza mwenyewe kwa aibu akiona anapendwa. Ila Kama una mdomo haachi na akiiacha jiandae kuwa mke mkubwa.
Hapo kwenye mdomo atueleze vizuri. Wanawake wana tabia
1. Kuona MABADIRIKO kwa watume zao huku Yao hawayaoni
2. Kuona ulevi wa waume zao bila kutafuta sababu za ulevi huo
3. Wanawake wanadhani mwanaume hawezi badirishwa na tabia za mwanamke.

NARUDIA, PALE KWENYE MDOMO ATUELEZE VIZURI...

KUISHI NA VUVUZERA UNAWEZA ISHIA KULEWA KILA SIKU
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Tafuta kitabu kinaitwa Thirst for freedom kitakupa mwanga kwanini kawa ivyo. Bahati mbaya nina hard copy tu ningekuwa na soft copy ningeiweka hapa.

Ila kwa ujumla ni kwamba hata yeye hapendi kuwa ivyo ila ndio tayari kawa mrahibu, msaidie kujua na kutatua changamoto anazopitia.
 
Inaonekana you are still young
Don’t get me wrong ni hapo uliposema mlim support kwenda chuo

Hebu chukua hata holiday kidogo mbadili mazingira hayo kama unaweza

Usitumie force kwake bali ushauri na kumpa nguvu ya kufanya kazi ni muhimu
Well were not that young bt shule tulihitimu miaka kadhaa iliyopita hivyo nikaona sio mbaya kama akijiendeleza zaidi ili kujikwamua kiuchumi na kuhusu likizo hilo naliwaza sana bt demands zake zipo juu sana pale linapokuja swala la likizo na zinaniumiza sometimes so huwa naona bora to have fan home tu au shopping flani hv ambayo inalingana na kipato changu
 
Pole sana kwa changamoto jaribu kukaa naye muongee kwa kina ili mpate kujua tatizo liko wapi, pia muweke kwenye maombi Mungu akusaidie katika changamoto unayopitia.
Asante kwa ushauri
 
Naona mnampa pongez huyo mwanamke kwamba anamjali mme wake,ila kiuhalisia hyo ndoa yenu inachangamoto kias kwaamba mwanaume ameamua amalizie stess zake kwny pombee!!jitathmin kama ulimkuta anakunywa kistaarabu ila baada ya kukoa kaamua kuwa mlevi ujue kuna %flan unachangia kumfanya awe vile..
Yote yanawezakana mkuu may be me ndo chanzo though sidhani kama mm ndo chanzo moja kwa moja nina miaka mingi na huyu bwana almost 10 yrs now he was very wonderful person na for 5yr sikujua kama anakunywa pombe nilikua nasikia tu bt tukatengana kwa muda then niliporudi ndo nikaja kujua upande wake wapili nikajipa moyo kuwa ni yule yule loving and caring person bt haikua hivyo zaidi nikashuhudia kuona anakunywa kupota kiasi na sigara juu hata nilipofanya maamuzi ya kutengana nae tena alikiri ku adilika japo huwa hafanyi hivyo kwangu imekua mateso coz nishazaa nae i wish the best for my children sijawahi kuwa na ndogo za kuwa single mom dat why nahangaika nione kama notashinda hili bt ikishindikana all is well
 
Kama bado anajali familia pamoja na kunywa pombe zake nakushauri mfungulie tu mlango anapotoka kulewa hajalishi ni saa ngapi karudi.
Sijui kama anatujali kwakweli ila kwa mtazamo wangu kwa sasa naona anajijali mwenyewe tu japo huko nyuma ni mtu ambae alikua ananijali sana bt toka tuwe na familia ni kama mambo yamebadilika
 
Back
Top Bottom