ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Mtie block na ufute namba zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahauboe - boy
Ayo - hayo
darasa4 - darasa la 4
kwely - kweli
angu - yangu
ww - wewe
Aya - haya
atupo - hatupo
hv - hivyo
brooh - bro
Mtu kishafikishwa kilele cha kilimanjaro unataka achati nini sasa. Acha mtoto wa watu alale bana.Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Dada zetu Ni watu ambao wanapendwa kubembeleza Kwa alie kupenda atazingatia ratiba zako you need creat distance ili aone umuhimu wako atakutafuta keep distanceJamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Mood ndio nini dogo?mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Kitu kidogo sana, hana mood mpotezee mpaka atakapo kutafutaJamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Ameshindwa tuu kukuambia uache porojo nenda katafute pesaAhahahah et hana mood....
Yaaan daaahAmeshindwa tuu kukuambia uache porojo nenda katafute pesa
😂😂Umesahau
Emu tulia✖️
Hebu tulia✔️
Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
😂😂😂boe - boy
Ayo - hayo
darasa4 - darasa la 4
kwely - kweli
angu - yangu
ww - wewe
Aya - haya
atupo - hatupo
hv - hivyo
brooh - bro
😂😂😂😂😂
Naona mmemtinga kweli huyo mtoa mada jaman ni mgeni hajui,
Anyway we ni mwalimu wa kiswahili?
Yaani unafaa alafu umenipiga na msamiati mwingine apo dadeki "adhimu" ndo nini?😂😂
Napendeza kuwa mwalimu wa lugha adhimu ya Kiswahili mkuu.?
Tupo wote baraza la kiswahili nini😂😂
Nimecheka.
Sawa umeshinda sawawe kubali tu kuwa una tatizo la uandishi.
Achana naye tafuta mwenye nood ya ju chat.Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?