Nifanye nini nipate hati ya kusafiria baada ya haya mazingira kujitokeza?

Nifanye nini nipate hati ya kusafiria baada ya haya mazingira kujitokeza?

Jicholamwewe

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
375
Reaction score
465
Nahitaji msaada wakuu nisaidieni yeyote anayefanya kazi uhamiaji kurani au anamfaham MTU yuko pale naomba msaada wenu kuna MTU anataka kuzima ndoto zangu.

Nilipata mishe nje hivyo nikaenda kuomba passport. Lakini mzazi hakupenda jambo hili.nilipoenda nikaambiwa niwape namba ya mzazi wamhoji bas ili kunihalibia baba aksema mm chimbuko langu ni burundi.

Hivyo basi madai hayo Mimi nikakanusha sabab familia naijua kwahyo ikabidi nilete mzazi wa kike yani mama .alipohojiwa yakaisha. Sasa changamoto ipo kwa yule jamaa aliyenihoji bado anashililia kauli za baba sabab anasema niombe uraia na wakati nimezaliwa hapa pia wazazi wote wamezaliwa hapa.jamani mwenye utu na aliyegushwa na jambo hili naomba msaada
 
Mwanzo aliniomba pesa nikamwambia sina kwahyo now anafanya kukomoa ili anihalibie.nimejitetea sana lakn anataka niombe uraia na wakati nimezaliwa hapa pia wazazi na vyet vyangu vyote vipo
 
Hebu kuwa muwazi, umetofautiana nini na baba mpaka atake kukukomoa, kumnyima hela tu bado haingii akilini, hebu nipe namba za baba ako niongee nae kiutu uzima sisi kama wazazi tutaelewana tu.
Baba mwanzo alijua kwamba motto akishaenda nje ndo basi tena yani atahalibika .ndo changamoto kwahyo nilkaa naye nikamweleza vizuri akaelewa pia kuna migogoro kati ya mama na baba lkn tulikaa kifamia yakaisha.shinda huyu jamaa
 
Mkuu tayari nishakata nikapigwa na picha yani kila kitu nimefanya .lkn jamaa ndo kaishikilia
ni wapi na nikisema kesho unionyeshe aliyeshikilia nyaraka zako na kukuomba hyo rushwa uko tayari kunionyesha? if is yes nitumie no yako kesho tukutane twende the rest niachie mie

kuna mambo tunatakiwa kutokuyafumbia macho kwani wale wako pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi kama wananchi mishahara yao na kila kitu kinaendeshwa kwa kodi zetu.
 
Back
Top Bottom