MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Sheria ya wapi hii?Watoto wanahesabika kuwa watanzania baada ya baba Yao kupata cheti Cha uraia.
Kama ulizaliwa kabla ya baba ajapata cheti wewe sio raia hata Kama ulizaliwa Tanzania hadi uombe uraia.