Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 375
- 465
- Thread starter
- #41
NinachoAnasikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NinachoAnasikia
Nielezee nini na wakati mzazi amejielezaKuzaliwa Tanzania hakukufanyi kuwa Mtanzania,elezea vizuri asili ya wazazi wako wote wawili
Wote wamezaliwa hapa na Mimi nimezaliwa MoroKama mmoja wa mzazi ni Mtanzania kuzaliwa Tanzania Kuna kupa haki ya kuwa Mtanzania.
Raia wa nchi mbili hadi ukifika mwisho miaka 18 unabaki na uraia wa nchi utakayo chagua.
Pia na kuangalia usalama wa nchi pia kutotoa pasipoti kwa wasio watanzania.ni wapi na nikisema kesho unionyeshe aliyeshikilia nyaraka zako na kukuomba hyo rushwa uko tayari kunionyesha? if is yes nitumie no yako kesho tukutane twende the rest niachie mie
kuna mambo tunatakiwa kutokuyafumbia macho kwani wale wako pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi kama wananchi mishahara yao na kila kitu kinaendeshwa kwa kodi zetu.
Kwa documents au kwa mdomo.Nielezee nini na wakati mzazi amejieleza
Burundi hioKigoma
Jamaa haelewiKwa documents au kwa mdomo.
Serikali uongea kwa documents
DocumentKwa documents au kwa mdomo.
Serikali uongea kwa documents
Vyote ninavyoJamaa haelewi
Cheti Cha kuzaliwa
NIDA number anayo ? N so forth
Km hana mwambie alipie magendo apewe passport
✍️
Hio ulaya huku ipo kwenye somo la civics tu na Sio sheria ya uraiaKuna uraia wa kuzaliwa mkuu
Sasa kuna kitu kimoja hunaVyote ninavyo
Kama kakamalika magendo ya nini kulipia haki yake.Jamaa haelewi
Cheti Cha kuzaliwa
NIDA number anayo ? N so forth
Km hana mwambie alipie magendo apewe passport
✍️
Wazazi wako wamezaliwa wapiiVyote ninavyo
Mzee mwenzangu hawa wadau watakupa haki yako lakini wataichelewesha lengo ni uilipie tu ukilipia tu unaipata chapchap usipolipia unajifanya kichwa ngumu nenda rudi zitakua nyingiKama kakamalika magendo ya nini kulipia haki yake.
Magumashi ngumu siku hizi mifumo inasomana
Wao wamezaliwa kigoma ila Mimi nimezaliwa MoroWazazi wako wamezaliwa wapii
Ili umuombe Rushwa nyingine au?NICHEKI PM
Kuna Mzee Mmoja wa Kihaya Ghorofa ya Pili ( BMC ) anaitwa Afande Katema au Katemo kama sijakosea huyu hana tu Roho Mbaya ila ana Wivu mno na Maendeleo ya Watanzania wanaotafuta au wanaopata Kazi nje ya nchi.ni wapi na nikisema kesho unionyeshe aliyeshikilia nyaraka zako na kukuomba hyo rushwa uko tayari kunionyesha? if is yes nitumie no yako kesho tukutane twende the rest niachie mie
kuna mambo tunatakiwa kutokuyafumbia macho kwani wale wako pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi kama wananchi mishahara yao na kila kitu kinaendeshwa kwa kodi zetu.
Yawezekana baba yako hajadanganyaKigoma
Ukijaribu kuangalia maombi yako kwenye mfumo kupitia reference number inaonesha jibu gani?Mkuu tayari nishakata nikapigwa na picha yani kila kitu nimefanya .lkn jamaa ndo kaishikilia
Niliambiwa nikachukue 24/5/2023Ukijaribu kuangalia maombi yako kwenye mfumo kupitia reference number inaonesha jibu gani?
Pili, Baada ya kupiga picha waliandika tarehe gani utegemee kukamilika kwa hati yako ya kusafiria?
Na ikiwa ofisa mmoja ananongwa, inawezekena ofisa mwingine akaifanyia kazi ombi lako. Tafuta ofisa mwingine mpatie application number ya ombi lako anaweza kukusaidia.
Kwa wadau wa hapa, ukijibu swali la kwanza na pili tunaweza kukupa namna ya kutatua changamoto yako.