Nifanye nini nipate hati ya kusafiria baada ya haya mazingira kujitokeza?

Nifanye nini nipate hati ya kusafiria baada ya haya mazingira kujitokeza?

Niliambiwa nikachukue 24/5/2023
Pia kwenye system aliyeshikilia ni yule afisa aliyenihoji.sabab yeye anadai Mimi siyo raia kwahyo anampelekea taalfa pco na pco hawezi kufanya maamuzi sabab taalifa anapokea kwa yule jamaa wa mwanzoni
Ukiangalia kwenye system inaandika ujumbe gani?
 
System ni moja akifanya mkoa mwingine si itaonekana tayari kuna pending request na hapo ndio watamtilia shaka zaidi.

Kuna mdao hapo juu amemwomba waonane akamsaidie

Bila shaka mtoa mada umepata pass yako
Cbeti kipi, kama ni chakuzaliwa basi jua cheti cha kuzaliwa sio kithibitisho kuwa wewe ni raia ya Tz.

Ushauri kafanye mchakato mkoa mwingine
 
Malizana nae tu si amekwambia umalizane nae kunjua roho mpe hela yake potea mawinga wapo kila sehemu Nchi hii wewe mpe chochote kitu pata passport yako potea kwani shilling ngap tukuchangie?
✍️
Winga atapatikana?
 
Kachukulie Burundi. Huu ndio unaenda kuichafu HATI ya Tanzania Duniani.
Na baba ndio mtu muhimu mno kwenye kuomba hati ya kusafilia kiongozi.
Mwisho na muhimu ONGEA VZR MAMA BABA YAKO. TU
 
Back
Top Bottom