Hongera sana mkuu kwa kuonyesha uzalendo wa kumpambania dogo!.ni wapi na nikisema kesho unionyeshe aliyeshikilia nyaraka zako na kukuomba hyo rushwa uko tayari kunionyesha? if is yes nitumie no yako kesho tukutane twende the rest niachie mie
kuna mambo tunatakiwa kutokuyafumbia macho kwani wale wako pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi kama wananchi mishahara yao na kila kitu kinaendeshwa kwa kodi zetu.
Kukuonesha naweza kukuonesha lkn ushahidi itakuwa ngumu sabab yalikuwa mazungmzo ya face to face na sikutegemea kama mambo haya yangetokeani wapi na nikisema kesho unionyeshe aliyeshikilia nyaraka zako na kukuomba hyo rushwa uko tayari kunionyesha? if is yes nitumie no yako kesho tukutane twende the rest niachie mie
kuna mambo tunatakiwa kutokuyafumbia macho kwani wale wako pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi kama wananchi mishahara yao na kila kitu kinaendeshwa kwa kodi zetu.
kijana ulichoandika hapa si kina ukweli? na unahitaji msaada?Kukuonesha naweza kukuonesha lkn ushahidi itakuwa ngumu sabab yalikuwa mazungmzo ya face to face na sikutegemea kama mambo haya yangetokea
Sawa mkuu niko tayarikijana ulichoandika hapa si kina ukweli? na unahitaji msaada?
kama ni hivyo nitumie no zako na ujiandae kesho asubuhi twende sehemu husika upate msaada the rest niachie mie but nitahitaji twende ote kwa huyo ofisa wa uhamiaji wala usiogope
Wewe chimbuko lako ni wapi?Nahitaji msaada wakuu nisaidieni yeyote anayefanya kazi uhamiaji kurani au anamfaham MTU yuko pale naomba msaada wenu kuna MTU anataka kuzima ndoto zangu.
Nilipata mishe nje hivyo nikaenda kuomba passport. Lakini mzazi hakupenda jambo hili.nilipoenda nikaambiwa niwape namba ya mzazi wamhoji bas ili kunihalibia baba aksema mm chimbuko langu ni burundi.
Hivyo basi madai hayo Mimi nikakanusha sabab familia naijua kwahyo ikabidi nilete mzazi wa kike yani mama .alipohojiwa yakaisha. Sasa changamoto ipo kwa yule jamaa aliyenihoji bado anashililia kauli za baba sabab anasema niombe uraia na wakati nimezaliwa hapa pia wazazi wote wamezaliwa hapa.jamani mwenye utu na aliyegushwa na jambo hili naomba msaada
Kwa nini usiende ofisi tofauti? Walimpigia simu Baba yako, je wewe una umri wa kuwa chini ya uangalizi wa mzazi?Mama kajieleza pia amekanusha madai ya baba na wakasema yameisha lkn bado jamaa kangngania niombe uraia
Toa HelaMama kajieleza pia amekanusha madai ya baba na wakasema yameisha lkn bado jamaa kangngania niombe uraia
Toa Hela huyo anataka hela mpe hela akupe hitaji lako Nchi hii inanuka RUSHWA kila eneoBaba mwanzo alijua kwamba motto akishaenda nje ndo basi tena yani atahalibika .ndo changamoto kwahyo nilkaa naye nikamweleza vizuri akaelewa pia kuna migogoro kati ya mama na baba lkn tulikaa kifamia yakaisha.shinda huyu jamaa
Toa Hela ataiachiaMkuu tayari nishakata nikapigwa na picha yani kila kitu nimefanya .lkn jamaa ndo kaishikilia
Muulize kitambulisho Cha uraia anacho?Kuzaliwa Tanzania hakukufanyi kuwa Mtanzania,elezea vizuri asili ya wazazi wako wote wawili
NotedKama mmoja wa mzazi ni Mtanzania kuzaliwa Tanzania Kuna kupa haki ya kuwa Mtanzania.
Raia wa nchi mbili hadi ukifika mwisho miaka 18 unabaki na uraia wa nchi utakayo chagua.
AnasikiaMuulize kitambulisho Cha uraia anacho?
KigomaWewe chimbuko lako ni wapi?
Hivi ukiwa na NIDA bado tena utaombwa mavyeti kama yale yale kama uliyotumia kuombea NIDA? Au kwa vile sasa mavyeti wanayo yote kwenye system yao namba ya NIDA pekee inatosha?njoo kesho kurasini ukiwa na 150k ya passport kitambulisho cha nida au nida no
Kuna uraia wa kuzaliwa mkuuKuzaliwa Tanzania hakukufanyi kuwa Mtanzania,elezea vizuri asili ya wazazi wako wote wawili