macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni jamii gani ya mbwa. Watakuja watu hapa watakudanganya uwalishe pilipili au bangi au kila aina ya nadharia. Wadharau. Kuna jamii ya mbwa hawawi wakali. Chukuwa breed nzuri hao ni koko. Ukiwachanganya inaweza kusaidia.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Mkuu hizi ni imani potofu. Mbwa ni breed. Kuna wengine hata ufanyeje hawawi wakali.Kuna bibi aliwahi niambia mbwa wake ni wakali sana kwa sababu anawachanganyia nyigu kwenye chakula cha mbwa. Sijawahi jaribu ila mbwa wake ni wakali mno.
Wanakula na kushiba?, sio wanashindia jalalani na kula pampaz zenye vinyesi.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Mwenyewe nnaamini hivyo, kuna aina ya mbwa ni waoga na wapole sanaMkuu hizi ni imani potofu. Mbwa ni breed. Kuna wengine hata ufanyeje hawawi wakali.
WapambanieNimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Asante kwa ushauriKufanya mbwa wako wawe wakali inaweza kuwa changamoto, lakini kuna njia kadhaa za kuwasaidia kuwa na ujasiri zaidi na kuwa na tabia za ulinzi:
Mafunzo ya Ulinzi: Tafuta mkufunzi wa mbwa ambaye ana uzoefu katika kutoa mafunzo ya ulinzi. Mafunzo haya yatawasaidia mbwa wako kujifunza jinsi ya kutambua na kukabiliana na vitisho.
Wafungie kwenye chumba hakina mwanga tafuta bangi weka kwenye kifuu kisha washa wakiwa ndani ya hiko chumba. Utakuja kunishukuruNimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Walishe mchanganyiko wa bange mbichi na Mavi makavu ya binadamu hasa wale wanaokunyaga poriniNimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Nyingi hata mi nimefanya zamani mbwa wa kuwinda swala ,wanakuwa wakaliKuna bibi aliwahi niambia mbwa wake ni wakali sana kwa sababu anawachanganyia nyigu kwenye chakula cha mbwa. Sijawahi jaribu ila mbwa wake ni wakali mno.
Mimi naona tatizo la mbwa wako sio ukali ila tatizo lao hawana ujasiri. Sasa angalia njia utazotumia usijetengeneza tatizo zaidi maana mbwa mkali asiyejihisi salama ni hatari zaidi anakuwa ni useless mbwa kichaa.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Hii watararua mpaka bossWachomee bangi wakiwa humo bandani kwao.