Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wape bangi.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mlishe pilipili
mvutishe bangi
mnyweshe sukari
na ukona hawi mkali chukua chuma muite vizuri aje kisha nyanyuachuma shusha kwa nguvu kichwani kwake kisha rudia mpaka uhakikishe hapumui yani bora umuue mana huyo sio mbwa ni chuma ulete tu
ChaiUkali wa mbwa ni dna kutoka kwa wazazi wake.kwa kawaida mbwa huwa wanarithi ukali kutoka kwa wazazi wake na si vinginevyo
Wape ugoroNimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Walishe pilipili!!Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Ni hatari kuwakamataWanakuwaga kwenye miti ya matunda kama maembe na migomba,wengine hata kwenye mabati au mbao
Ya namna gani?Walishe pilipili!!
Puani au mdomoni?Wape ugoro
Na mbwa wa Polisi wanapitia mateso haya?Siliba banda lao juu chini mbele na nyuma hakikisha bawamwoni mtu anaepita waishie kusikia sauti tuu na ndani ya banda wakiwq humo humo wafunge tena na chain shingoni iwe fupi yaani wapate shida fulani kuzunguka humo ndani yaani hakikisha wanaishi kama unawatesa fulani utakuja kunishukuru.
Dah, hata Bibi Ana haki ya kufikishwa kileleniSasa tangu lini mbwa anayefugwa na Bibi akawa mkali na yeye si atakuwa na tabia za kibibi au nimekosea Mimi Bibi Yenu Mpambanaji
Asante sanaMimi naona tatizo la mbwa wako sio ukali ila tatizo lao hawana ujasiri. Sasa angalia njia utazotumia usijetengeneza tatizo zaidi maana mbwa mkali asiyejihisi salama ni hatari zaidi anakuwa ni useless mbwa kichaa.
Kitendo cha wao kuogopa watu ni kumaanisha wana historia mbaya na watu inawezekana walishapitia mateso huko nyuma, je uliwafuga tangu wadogo?
Vipi kuhusu historia ya wazazi wao nao walikuwa waoga?
Mjukuu wangu, naomba uisome hii comment kwa umakini mkubwa, itakusaidia sana kwenye maisha ya ufugaji.Siliba banda lao juu chini mbele na nyuma hakikisha bawamwoni mtu anaepita waishie kusikia sauti tuu na ndani ya banda wakiwq humo humo wafunge tena na chain shingoni iwe fupi yaani wapate shida fulani kuzunguka humo ndani yaani hakikisha wanaishi kama unawatesa fulani utakuja kunishukuru.
Mimi naona tatizo la mbwa wako sio ukali ila tatizo lao hawana ujasiri. Sasa angalia njia utazotumia usijetengeneza tatizo zaidi maana mbwa mkali asiyejihisi salama ni hatari zaidi anakuwa ni useless mbwa kichaa.
Kitendo cha wao kuogopa watu ni kumaanisha wana historia mbaya na watu inawezekana walishapitia mateso huko nyuma, je uliwafuga tangu wadogo?
Vipi kuhusu historia ya wazazi wao nao walikuwa waoga?
Nikamatwe na polisi na uzee huu?Wafungie kwenye chumba hakina mwanga tafuta bangi weka kwenye kifuu kisha washa wakiwa ndani ya hiko chumba. Utakuja kunishukuru