Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pilipili kichaaYa namna gani?
Nilitaka nimuulize breed. Kama ni hawa wa kuzagaa itakuwa changamoto zaidi.Mbwa wenyewe unakuta hawa wanaozagaa zagaa hao ni koko in nature
wakamate,,alafu kamata midomo yao kwa mkono yaani tight midomo yao,,,washa SKANKA,wapulizie puani kwa siku 7,utakuja kunizawadia konyagi!!Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Mbwakoko ndiye mwenye tabia ya kuufyata mkia, huyu si rahisi kumbadili labda ukiovaholi kichwa chake cha CCM na kumwekea cha Chadema ndipo watakuwa jasiri.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Kabla sija kushauri hao mbwaa ni breed gani kwanza pia mbwaa afundishwi ukali iyo ni natural kwa aina ya mbwaa sasa chagua ubaki na ao mbwaa wako wa mtaani kwenu au nikuuzie rottweiler pure bread acheki na kimau
Upo mkoa gani mkuuKabla sija kushauri hao mbwaa ni breed gani kwanza pia mbwaa afundishwi ukali iyo ni natural kwa aina ya mbwaa sasa chagua ubaki na ao mbwaa wako wa mtaani kwenu au nikuuzie rottweiler pure bread acheki na kima
Kwenye chakula chao unawachanganyia na mjani kidogoNimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
kuna tofauti ya mbwa mkali na mbwa chizi, mambo kama hayo ndiyo una kuta mbwa ana ngata hadi wana familia.Kwenye chakula chao unawachanganyia na mjani kidogo
Walai bilai watalai wewe una kitu utafika mbali uko sahihi kabisaakuna tofauti ya mbwa mkali na mbwa chizi, mambo kama hayo ndiyo una kuta mbwa ana ngata hadi wana familia.
Wavutishe bangi kama wale wapiganishaji majogoo.Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Simple wavutishe bange!Nimefuga mbwa wawili, kuanzia mwaka Jana, mbwa wangu hawabweki, hawana utisho, na wakiona mgeni huuficha mkia kwenye uvungu wa paja na kisha kakimbia kwenda kujificha.
Tabia ya mbwa hawa inanisikitisha sana na kunifedhehesha sana mtaani kwetu. Msaada tafadhali
Napata wapi? Nikikamtwa nayo je?Simple wavutishe bange!
Na majogoo yanavuta bange?Wavutishe bangi kama wale wapiganishaji majogoo.
Wee baba wewe... Wakinijeruhi? Bange ni bangue haijalishi anayefuata kuzinguliwa ni naniKwenye chakula chao unawachanganyia na mjani kidogo