Nifanyeje ili mbwa wangu wawe wakali?

Wape bangi.
Walishe vyakula vyenye pilipili nyingi , wakate mkia.

Hizi ndizo njia za asili.
 
Mlishe pilipili
mvutishe bangi
mnyweshe sukari
na ukona hawi mkali chukua chuma muite vizuri aje kisha nyanyuachuma shusha kwa nguvu kichwani kwake kisha rudia mpaka uhakikishe hapumui yani bora umuue mana huyo sio mbwa ni chuma ulete tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na mbwa wa Polisi wanapitia mateso haya?
 
Asante sana
 
Mjukuu wangu, naomba uisome hii comment kwa umakini mkubwa, itakusaidia sana kwenye maisha ya ufugaji.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…