Nenda kwa Mwamposa ukatolewe hilo pepo la ngono mkuuYaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii peaa nisinhenunua msosi pale.kwa mama nitilie au nisimhepeleka.kodi ya meza na mambo yakaenda...
Akatolewe pepo[emoji849] kwahiyo pepo ndio pesa siku hizi mkuu?Nenda kwa Mwamposa ukatolewe hilo pepo la ngono mkuu
PEPO SIO PESA..Akatolewe pepo[emoji849] kwahiyo pepo ndio pesa siku hizi mkuu?
Kwa mwamposa atatolewa pesa tu mkuuPEPO SIO PESA..
BASI AENDE KWA KANISA LAKE AU MSIKITI WAKE ANAOUPENDAKwa mwamposa atatolewa pesa tu mkuu
Watu watatu tuuu ndo kuna uhalali kwao:Acha mara moja
Malaya wanakuachia nuksi
Oa mke halali piga kwa uhalali
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hakuna kitu cha misingi apo dogo kama hapendi hiyo tabia hakuna haja ya kuendelea nayo.BASI AENDE KWA KANISA LAKE AU MSIKITI WAKE ANAOUPENDA
Akisoma Biblia ataacha Tabia ya Kununua Malaya???
SI MPAKA AKUBALI KUACHA KUTOKA MOYONI, WE UNADHANI NI RAHISI?Bado hakuna kitu cha misingi apo dogo kama hapendi hiyo tabia hakuna haja ya kuendelea nayo.
Ukiona kitu haupendi alafu unafanya ,rahisi tu ,utambue afya yako ya akili haipo sawa, ni bora utafute wataalamu wa hayo mambo watakusaidia kitaalamu zaidi.SI MPAKA AKUBALI KUACHA KUTOKA MOYONI, WE UNADHANI NI RAHISI?
Kuna watu wanamwambia aoe unadhani ni suluhisho la moja kwa moja