Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HILO WAZO ANALO?Ukiona kitu haupendi alafu unafanya ,rahisi tu ,utambue afya yako ya akili haipo sawa, ni bora utafute wataalamu wa hayo mambo watakusaidia kitaalamu zaidi.
Dogo,ebu fikiria hili;Ni roho chafu hiyo...!
Nina Mdogo wangu alifikia kununua Malaya mpaka wa Laki 5 kulala nae mpaka asubuhi.
Alianza na 20,000 akaona wana kasoro, akataka 50,000 akaona ana mapungufi, akafika mpaka laki 5....!
From no where akawa na hamu ya ajabu na Mwanamke, haipiti simu bila kulala na Mwanamke, Masha love ndo alikua anamuuzia Malaya..!
Alikua ana 20 millions cash Magetoni baada ya kuzikusanya kwa miaka 2 hivi, siku. Anahesabu hela alonayo, anakuta ni Millions 1.5...!
Hela yote kanunua Malaya, hafu akishagonga Goli moja tu, anataka mwanamke mwingine...!
Ndo akagundua sio yeye, akaanza kutafuta msaada.
Anaji promote tu huyo sio mkweliKula k kijana...
Ndio tatzo hilo,kwa hiyo bora tumwambie aende kwa mwamposa tu mkuu???HILO WAZO ANALO?
KAMA ANA IMANI HIYO, KAMA ISIPOFAA AENDE USHAURI SAIKOLOJIANdio tatzo hilo,kwa hiyo bora tumwambie aende kwa mwamposa tu mkuu???
Muongo huyo anaji promote tu na kutafuta reactions za watu. Shikamoo Dada ?Acha Zinaa
Kama umefika wakati wa kutaka kuoa amua kuacha.Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?
Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia
Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Ni vigumu kushindana na ulipotokeaKula k kijana...
Rabbon Yesu AnakujaYaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?
Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia
Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Sure😊KAMA ANA IMANI HIYO, KAMA ISIPOFAA AENDE USHAURI SAIKOLOJIA
hauYaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?
Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia
Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Acha ratiba za kwenda hzo sehemu au punguza taratibutaratibu. Kisha waonee kama watu wa kawaida tu kingne ukienda hzo sehm kam n bar agza maji au soda syo vlevi maanaYaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?
Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia
Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Mkuu huyo kwenye avatar ni wewe au nimeona vibaya?BASI AENDE KWA KANISA LAKE AU MSIKITI WAKE ANAOUPENDA
kumbuka unatumia nguvu, muda na pesa zako.., ambapo, nguvu unayoipoteza ingekusaidia kuzalisha watoto na mali zaidi..Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?
Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia
Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Marhabaa mdogo wangu,uko salama?....Sasa ndio kujipromote Gani huko Kwa Zinaa?Muongo huyo anaji promote tu na kutafuta reactions za watu. Shikamoo Dada ?
Nimesoma mara 3 ulichoandika sijaelewa km ule wimbo wa iyanya one sideWatu watatu tuuu ndo kuna uhalali kwao:
1. Mfungwa gerezani
2. Mtoto tumboni
3. Marehemu kaburini.
Anaweza akaacha wanaojiuza viwanjani, akachukua profeshono wa mtandaoni. Lile dude,halina uhalali wala uhalamu