Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔

Hii ni hatua nzuri kwamba umegundua hiki ni kifungo

Ukisoma btn lines ,umeshajigundua umeshakufa KIROHO NA KIUCHUMI, na Ukipuuzia hayo majibu ya hiyo tathmini uliyojifanyia mwenyewe,kitakachofuata ni KIFO CHA KIMWILI.

ufanyeje sasa?
Tafuta kanisa lolote linaloamini na kuhubiri habari za wokovu(Hapa tafuta kanisa ambalo ni taasisi,siyo haya ya watu binafsi,maana ya aina hii kuna pia matepeli ndani yake ambaye kwa mtu mchanga huwezi tofautisha).Hakikisha ni kanisa lenye ibada za kila siku au jioni au asubuhi,hudhuria ibada hizi kila siku bila kuacha.pia nenda kwenye mikutano ya hadhara ya injili.Wakitoa nafasi ya kupita mbele ili umpokee Yesu pita haraka ujisalimishe kwa Yesu mbele ya watu ili uwe ushuhuda kwamba umemkiri Yesu mbele za watu.Hii iende sambamba na kubadilisha aina ya mtindo wa maisha yako na aina ya marafiki.Sababu UMESEMA UKIONA MAUNGO YA MWANAMKE YANAAMSHA HISIA ZA NGONO,na wenyewe wameshajua

Pia kama hujao tafuta mke uoe

Kwa nini?
Sababu ulipofikia unahitaji serious spritual transformation ya haraka

Uzuri ni kwamba hakuna lisilowezekana kwa Mungu aliye hai.Imenisaidia sana hiyo.Mimi ni mfungwa mwenzio ambaye kwa NEEMA YA MUNGU Yesu alinitorosha toka jera ya hivyo cha miaka kadhaa iliyopita.

Utashangaa maendeleo yako kiuchumi yatavyokuwa ya haraka.

Siyo kazi nyepesi kufanya maamuzi ya hivyo isipokuwa uchaguzi ni wako, uache ili ulinde nafasi yako au uendelee ili uangamie( Mith 6:32).

Mungu atakusaidia!
 
  • Kiimani wanasema ni pepo
  • Kiuchumi wanasema kwa sababu una hela ya kuwalipa
  • Kiubinadamu wanasema una nguvu za kiume na hisia kali
  • Kiuwanaume wanasema ni kawaida kutamani pisi kali kwa mwanaume rijali

Sasa wewe unataka nini? :Doits:
Hicho ni kifungo shetani huwa anatumia akili sana kufanya mtu ili asifanye maendeleo mara nyingi vitu unavyovipenda kuvifanya shetani huwa hakai mbali chunguza vitu unavyovipenda kuvifanya au mazingira unayopenda kushinda au marafiki unaowapenda kuwa nao wanaweza kuwa sababu ya mambo yako kushindwa kupiga hatua

Inakuwa upo kwenye vifungo bila kujua inahitaji nguvu ya roho mtakatifu kukutoa mahali ulipo maana unapotea bila kujua
 
Acha udomo zege!!
wanunuzi wa malaya wengi domo limejaa maji
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Duuh!!pole sana,km kweli hupendi hii tabia ya kununua malaya basi Anza mwenyewe kuacha halafu ndo uende /kanisani/msikitini,Maana bila wewe mwenyewe kutia Nia ya kuacha ,hata uombewe vipi huwezi acha
Anza kuikataa hiyo hali mwenyewe utaweza tu nduguuuuu
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Jamani pamoja na hayo yote mimi nauza bidhaa kama
Shuka za Uganda,Duvet,Soft blanket,Handbags,Viatu na Pazia

Jamani naomba mniungishe,
 
Back
Top Bottom