Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
nilikua kama wewe nikakinai nikaacha. una umri gani?
 
  • Kiimani wanasema ni pepo
  • Kiuchumi wanasema kwa sababu una hela ya kuwalipa
  • Kiubinadamu wanasema una nguvu za kiume na hisia kali
  • Kiuwanaume wanasema ni kawaida kutamani pisi kali kwa mwanaume rijali

Sasa wewe unataka nini? :Doits:
je uyo ki mutu apo umewekaje? napata isia wewe ni mutundu wq haya mambo utakwua gugo pare kama injinia
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
PUNGUZA POMBE
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
1. Acha kununua malaya
2. Acha kununua malaya
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Pepo mchafu huyo, unahitaji kujikomboa mwenyewe kwa kumuomba Mungu bila kukoma... Jisafishe na damu ya Yesu vinginevyo utakuja kujutaa mbeleni
 
Ukiona kitu haupendi alafu unafanya ,rahisi tu ,utambue afya yako ya akili haipo sawa, ni bora utafute wataalamu wa hayo mambo watakusaidia kitaalamu zaidi.
Naunga mkono hoja, Ila kipenzi wengine unakuta ni pepo la ngono limemvaa yaan yeye ni wa kununua Malaya mpka yatakapomkuta makubwa ndo inakuwa basi tena
 
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda?

Kiukweli nasumbuliwa sana na uraibu wa kusex na kugegeda malaya mpaka imefika hatua imani yangu imeshuka na pia nimeshuka kiuchumi yaani wakuu mimi nikiona maziwa ya mwanamke tu daaah, misambwanda ndio usiseme wakuu, nateseka na kuumia

Wakuu nifanyeje? Ili niachane na hii hali?🫔🫔
Pole sana mkuu
 
Jus nilipi g a Malaya mmbovu had asbh nimemtukana kwa msg na matus mazito

Sijui nilimuonaje yule manzi ile mm nais siku hyo nilikula pepo au jini lao duh


Mwanmke mpumbavu Sana yule nimeamkaaa nikaoga maji ndooo mbili kubwa saaa kumi usk

Nilijuta Hadi leo Sina hamu na demu wa bar
 
Ni roho chafu hiyo...!

Nina Mdogo wangu alifikia kununua Malaya mpaka wa Laki 5 kulala nae mpaka asubuhi.

Alianza na 20,000 akaona wana kasoro, akataka 50,000 akaona ana mapungufi, akafika mpaka laki 5....!

From no where akawa na hamu ya ajabu na Mwanamke, haipiti simu bila kulala na Mwanamke, Masha love ndo alikua anamuuzia Malaya..!

Alikua ana 20 millions cash Magetoni baada ya kuzikusanya kwa miaka 2 hivi, siku. Anahesabu hela alonayo, anakuta ni Millions 1.5...!

Hela yote kanunua Malaya, hafu akishagonga Goli moja tu, anataka mwanamke mwingine...!

Ndo akagundua sio yeye, akaanza kutafuta msaada.
Chai hii msenge wewe
 
kumbuka unatumia nguvu, muda na pesa zako.., ambapo, nguvu unayoipoteza ingekusaidia kuzalisha watoto na mali zaidi..
lakini pia muda ungeutumia kupumzika na kubuni mambo mengine ya malezi n.k. Lakini pia pesa unazofuja na malaya ungeweka akiba au kutunza afya yako kwa kula vizuri, kuishi na kulala pazuri, kuvaa vizuri n.k

Fikiria kwa bahati mbaya au makusudi ukakwaa gono, kaswende, uti au ngoma majutro yake ni makubwa sana maisha yako yote...

kumbuka vichocheo vya kufanya tendo na nguvu za mwili hupungua, na tena sasa hivi tatizo la nguvu za kijinsia limeshika kasi, unakuja kuoa wakati nguvu zote umemaliza kwa malaya town, na mkeo ndio ana moto anatamani umpige paipu na anahitaji mtoto, akati wewe mtalimbo ni legevu wala network haishiki, huwezi toboa, utapigiwa tu mkeo....

be careful aise,
amua kuoa sasa na kama sio sasa ni sasa hivi, ili uondokane na huo utumwa na uchafu hatari sana kwa afya na maisha yako...
Yaani nyie wapumbavu sana, wanaume hatuoi ili tumalize nyege. Huyo ajifunze sexual huges control kwanza ndo awaze kuoa.
 
Yaani nyie wapumbavu sana, wanaume hatuoi ili tumalize nyege. Huyo ajifunze sexual huges control kwanza ndo awaze kuoa.
relax kwanza na upunguze mihemko, kisha ndio utoe ushauri huo mujarabu sana bila kingereza mingi 🐒
 
Atafute tu kazi za kumchosha au aanze gym after work, huo upuuzi unaisha.
kumbe ndio maana jamaa wa gym wanadharaulika kwamba na wao kazi hawana huko chini, na kwamba na jamaa akianza gym huko chini panatulia na ndio nae anakua na six packs lakini huko chini network ndio bas tena, dah 🐒
 
Back
Top Bottom