Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Chai hii msenge wewe
Ni true, sio Chai, ni Mdogo wangu kabisa, ananionyesha picha zote za Malaya alotembea nao...!

Mimi nilikua hata sijui kwamba Masha huwa anawauza Malaya, kanionyesha picha, kanionyesha chatting zake na Masha akitumiwa picha za Malaya ili achague....!

Na Masha ndo kachangia kum'malizia pesa, coz leo angelala na mwanamke, then atampigia Masha kulalamika kuwa Mwanamke aliyemletea hajui kukatika, Masha angemwambia sasa Wewe ndo umetaka huyo wa 20,000 ndo nikutumie wanaojua kukatika, ila wanaanza na 30,000, zinatumwa picha, dogo anachagua, Chuma inakuja, anaipelekea Moto, anagundua Demu mwenyewe Maziwa yalikua yamelala sana, atalalamika kwa Masha, them ataambiwa kama unataka Chichu Konzi, ninao ila wanaanzia 50,000....!

Ilikwenda hivyo mpaka ikafika Jiwe 5 Mkuu......!
 
Ok vipi kwa sasa anaendeleaje?
Maombi yalimsaidia, yeye ni Mkatoriki, so alisali Novena ya siku 15 mixer kugunga, na kwenda Kanisani...akimwambia Mungu amtoe kwenye hilo janga!

Siku anamaliza Kufunga, zile Nyege zote zikakata, kwa hasira, akagawa, na kuchoma moto vyote vilivyohusika na Zinaa kwa. Ukaribu, Kitanda, Chupi, Mashuka, Taulo n.k...

Sasa hivi yupo poa....!
 
Ok pmj san
 
Haujamuelewa mtoa Mada au hali kama hiyo ikukuta utaelewa zaid
Motoa Mada pia kama unatazama picha zangono uache
 
Roho Chafu Kivipi ?

Can you please elaborate more
 
Akisoma Biblia ataacha Tabia ya Kununua Malaya???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una umri gani?
 


Lazima ukubali kwanza wewe ni malaya bila hivyo utakuwa unasingizia na kulalama. Hao unao nunua ni malaya kama wewe tu tofauti ni kwamba wewe unatoa pesa na wenyewe wanapokea. Bila kujitambuwa utakuwa unajidanfanya. Hivyo kwanza amua kwa imani yako kuacha umalaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…