Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Wewe ni wa kiume au wa kike?Habari wanajamii forums
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu
Wa kiumeWewe ni wa kiume au wa kike?
Acha bwana. Acha kabisa.Wa kiume
Makubwa haya.Wa kiume
Manula katokaHabari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Acha ujinga basi kumbe wakiume sikuwahi fikiria sasa unataka iwe laini laini ili ukusaidie kwenye nini mkuuWa kiume
Duuu umesubutu kbs kusema wakiumee daaaa kwahyo umeona Hilo nalo n ttz ??na cc tusemeje wenye sugu mikononii.??Wa kiume
Mhh hii inatia ukakasiWa kiume
Labda shemeji enu anaumia akishikwa huko downAcha ujinga basi kumbe wakiume sikuwahi fikiria sasa unataka iwe laini laini ili ukusaidie kwenye nini mkuu
Kazi za mikono pia huchangia kama vile ufundi kujenga nk.Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
aiseeWa kiume
Malezi ya kina mama haya.Mhh hii inatia ukakasi