Nifanyeje kwa mtaji wa 150k nipate faida ya 100k ndani ya muda mfupi?

Nifanyeje kwa mtaji wa 150k nipate faida ya 100k ndani ya muda mfupi?

Joseph Gadiel

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
407
Reaction score
713
Wazee kama mada inavyojieleza, hapa nina kiasi taslim 150k ila nina uhitaji wa 250k, Je, ninaweza kufanya nini ili kiasi hiki kitimie ndani ya muda mfupi? Nipo mkoa wa Manyara.

NB; Sitaki habari ya betting
 
Zungusha nguo za mitumba mkuu,au jipachike sehemu then piga kelele....elfu mbili mbili...elfu mbili mbili....vitop vya maana,Prova la kwenda shule(la buku mbili sasa🙄)
 
Watu tunanuka shida kila kona. Tumia fursa hiyo. Muotee mtu mwenye shida na hela. Mkopeshe hiyo 150,000 mwambie akurejeshee 200,000. Wekeaneni muda Uchukue kitu chake cha thaman ambacho hata akizingua unakiuza kwa laki2 chap. Hakikisha unachukua kitu chake. Ukisha malizana na huyo cheki mwingine. Hela inayohitaji utaipata na zaidi😉
 
Watu tunanuka shida kila kona. Tumia fursa hiyo. Muotee mtu mwenye shida na hela. Mkopeshe hiyo 150,000 mwambie akurejeshee 200,000. Wekeaneni muda Uchukue kitu chake cha thaman ambacho hata akizingua unakiuza kwa laki2 chap. Hakikisha unachukua kitu chake. Ukisha malizana na huyo cheki mwingine. Hela inayohitaji utaipata na zaidi😉
Simple like that 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom