Joseph Gadiel
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 407
- 713
- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa wazo zuri, Nimelipokea.Kanunue mtumba weka mezani piga kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kwa wazo zuri, Nimelipokea.Kanunue mtumba weka mezani piga kelele
Nashukuru kwa wazo zuri, Nimelipokea.Watu tunanuka shida kila kona. Tumia fursa hiyo. Muotee mtu mwenye shida na hela. Mkopeshe hiyo 150,000 mwambie akurejeshee 200,000. Wekeaneni muda Uchukue kitu chake cha thaman ambacho hata akizingua unakiuza kwa laki2 chap. Hakikisha unachukua kitu chake. Ukisha malizana na huyo cheki mwingine. Hela inayohitaji utaipata na zaidi😉
Unaposema muda mfupi, unamaanisha muda gani hasa??
--
Kwa Majanyara deals za kwenye Mdanada waweza ingiza hiyo fedha unayohitaji.
Nilijaribu hivyo mkuu! Ila unakuta unakopa 20 alafu unalipa 26 (pamoja na riba) ukitegemea next time mkopo utapanda walau mpaka 50 lakini wapi! Unakuta unapanda kutoka 20 mpaka 22.Hapo mwisho wa siku na hizo riba unakula hasara.Ni simpo tu. Download app ya jipimie cash kopa elf 15. Hapo hapo unawalipa wanakupa tena 51 elf ukiwalipa wamakupa 150,000 halafu unaendelea shuhuli zako. Hawatamaind sana!
Kama hautaki Betting,Wazee kama mada inavyojieleza, hapa nina kiasi taslim 150k ila nina uhitaji wa 250k, Je, ninaweza kufanya nini ili kiasi hiki kitimie ndani ya muda mfupi? Nipo mkoa wa Manyara.
NB; Sitaki habari ya betting
Kuna jamaa amekushauri kuhusu kutafuta mtu mwenye uhitaji wa hela umkopeshe kwa makubaliano ya kukulipa hiko kiasi kwa muda mtakao kubaliana,zaidi ya hapo fanya "Flipping",tafuta bidhaa au huduma yoyote fanya hivyoWazee kama mada inavyojieleza, hapa nina kiasi taslim 150k ila nina uhitaji wa 250k, Je, ninaweza kufanya nini ili kiasi hiki kitimie ndani ya muda mfupi? Nipo mkoa wa Manyara.
NB; Sitaki habari ya betting
Sio manyara kwa wairaq wenzangu mzeeZungusha nguo za mitumba mkuu,au jipachike sehemu then piga kelele....elfu mbili mbili...elfu mbili mbili....vitop vya maana,Prova la kwenda shule(la buku mbili sasa🙄)