Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Omba sana bila kuchokaHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba sana bila kuchokaHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Tumbo ni lako au lake? Pilipili ya shamba yakuwashia nini?Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Umesahau kumwambia achanganye na magadi ya maweTafuta majani ya mgomba mchemshie pamoja na nyama ya paka mwitu halafu mpe anywe mchemsho wake haitafika wiki ataacha.
Tatizo ume-base kwenye DINI (religious view) badala ya IMANI (spiritual view). Imani yake ndio itamfanya aache ila sio kinyume na hapo.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Moto unakusubiri tuKunyonya Tukuyu je?
Moto wa kuzimuMoto wa Qumer?
SawaCummer ni kuzimu na pia ni Paradise