Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Akila kitimoto msikutane kimwili maana unapombusu Yale mate yake yanakua na ka kitimoto kidogo.
 
Andaa maumivu ya UBUNGO

Huyu mjomba hua anajisevia chakula kwenye UBONGO wako ukila PiG na yeye anakula, usipokula anakushambulia uagize PiG ule hapo ndio unaanza kusikia maumivu ya kichwa

Good News right?

View attachment 2518345

Au hivi vidudu ndio vinaongezaga utamu alooooh,,,,, anyway dunani tunapita mean while I am here acha niendelee kumtafunaa
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Mwache mkeo ale kitu roho inapenda wewe inakuwasha nni....? Hicho kinapitia mdomoni tu na kudondoka chooni kama kinyesi mkaushie
 
Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Na wewe unakula haramu vingapi MBNA mnapenda kujihesabia haki nyie watu.....kama angekuwa anakunyima ngono sawa lakini kama unapewa kwa wakati mkaushie ale anone
 
Na wewe unakula haramu vingapi MBNA mnapenda kujihesabia haki nyie watu.....kama angekuwa anakunyima ngono sawa lakini kama unapewa kwa wakati mkaushie ale anone
Mimi mwanaume bwana
 
Mwache mkeo ale kitu roho inapenda wewe inakuwasha nni....? Hicho kinapitia mdomoni tu na kudondoka chooni kama kinyesi mkaushie
Atakula ninachotaka mimi ale
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Mle yeye kwa staili ya kitimoto lazima aache
 
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Acha upumbavu wewe. Kwani akila kitimoto wewe unaathirika vipi? Au akila kitimoto anaaffect vipi ndoa yenu? Mbona mna upumbavu mwingi sana nyinyi siku hizi. Kwa akili hizi you shouldn’t have gotten married. Angekuwa baada ya kula hicho kitimoto anafanya mambo ya ajabu ambayo ni embarrassment kwa ndoa yenu sawa. Vinginevyo huu ni upuuzi wa kiwango cha lami
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Wakati unamuoa we mwenyewe si ulikuwa unampeleka kwenye butcher? Mwache ale anachokipenda hata wewe unakula mkuu maana yeye ndiye anakupikia
 
Mshukuru Mungu kwa kukukupa mke Bora kabisa mwenye uwezo wa kutumia ubongo wake sio matangopori ya kuiga Mila za waarabu na wayahudi
 
Mimi baada yakusikia ikitajwa nyama ya my wetu[emoji39][emoji39]
1679580980049.jpg
 
Back
Top Bottom