spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mkeo anakula Gududu Astaghfirullah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andaa maumivu ya UBUNGO
Huyu mjomba hua anajisevia chakula kwenye UBONGO wako ukila PiG na yeye anakula, usipokula anakushambulia uagize PiG ule hapo ndio unaanza kusikia maumivu ya kichwa
Good News right?
View attachment 2518345
Mwache mkeo ale kitu roho inapenda wewe inakuwasha nni....? Hicho kinapitia mdomoni tu na kudondoka chooni kama kinyesi mkaushieMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Na wewe unakula haramu vingapi MBNA mnapenda kujihesabia haki nyie watu.....kama angekuwa anakunyima ngono sawa lakini kama unapewa kwa wakati mkaushie ale anoneHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Sawa...sioni kama atahukumiwa kwa kosa hiloAtakula ninachotaka mimi ale
Huu ushauri ni wa nguvu za giza wallah..!!Tafuta majani ya mgomba mchemshie pamoja na nyama ya paka mwitu halafu mpe anywe mchemsho wake haitafika wiki ataacha.
Sa si angekuwa keshaacha..!?? Kama unakuja JF kuomba ushauri maana yake wewe peke yako amekushinda. IN SHORT ATAKULA ANACHOKITAKA YEYE..!!Atakula ninachotaka mimi ale
Mle yeye kwa staili ya kitimoto lazima aacheMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Acha upumbavu wewe. Kwani akila kitimoto wewe unaathirika vipi? Au akila kitimoto anaaffect vipi ndoa yenu? Mbona mna upumbavu mwingi sana nyinyi siku hizi. Kwa akili hizi you shouldn’t have gotten married. Angekuwa baada ya kula hicho kitimoto anafanya mambo ya ajabu ambayo ni embarrassment kwa ndoa yenu sawa. Vinginevyo huu ni upuuzi wa kiwango cha lamiJe, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Wakati unamuoa we mwenyewe si ulikuwa unampeleka kwenye butcher? Mwache ale anachokipenda hata wewe unakula mkuu maana yeye ndiye anakupikiaMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kwa wasabato denda ni dhambiHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?