Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Ushawahi kula nyama ya bata?Kwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kula nyama ya bata?Kwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?
, [emoji23]Mbona maji mnakunywa na mnajua wazi nguruwe walifia humo.... Msilifupishe lile andiko.
Someni lote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ile ladha unapata kwa kitanda ndio matokeo ya kitimoto siku akiacha utelezi utapungua ndugu.
Seema kaka unakaumalayaa flaniii hivii[emoji3][emoji3]Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Kumbe hadi wasabato mnanyonyana denda[emoji119][emoji119]Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Ishasemwa ni kitimotoKwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?
Nguruwe wamekatazwa Walawi, wewe Mkurya wa tarime unajikataza, ni nani amekuambia ujiingize kwenye katazo lisilo lako? Mnajipa stress Bure hapa dunianiMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kama ulilishwa kpitia denda na hukudhurika , agiza kilo nyingine ya kukaziaHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Nipe namba yake nimwelekeze mahali wanaichoma vizuri lazima alambe vidole.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Nimetamani
Kama uliamua kuoa mkatoriki kwa ridhaa yako vumilia tu, ni sawa na mpiga puli akioa, ataendelea kuungurumisha tu, bendera ya chama itapepea mileleMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?