Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Nguruwe wamekatazwa Walawi, wewe Mkurya wa tarime unajikataza, ni nani amekuambia ujiingize kwenye katazo lisilo lako? Mnajipa stress Bure hapa duniani
 
Mwamba unazingua sana ....hapo unamtaka mke,( familia )...kitimoto au dini yako! Yaani unakula kuku, samaki aliyekula kinyesi na wadudu na bado hujasema umekula kinyesi, wala wadudu... unakula ng'ombe, mbuzi na kondoo waliokula majani yaliyokojolewa/ kunyewa na binadam na wanyama wengine hulalomi....same to mboga za majani....leo unahangaika na mla kitimoto....imani yako ni haba sana boss...unajilisha upepo....! Good luck
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Nipe namba yake nimwelekeze mahali wanaichoma vizuri lazima alambe vidole.
 
Ndg yangu hutoboi[emoji23]
Wewe muache tu aendeleee kula
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kama uliamua kuoa mkatoriki kwa ridhaa yako vumilia tu, ni sawa na mpiga puli akioa, ataendelea kuungurumisha tu, bendera ya chama itapepea milele
 
Back
Top Bottom