Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Unataka aache kitimoto awe mchawi? Ee nakuuliza mleta uzi
 
Ndiomana Inapendeza sana kuoana mkiwa na Imani mojaa! Masuala kupangiana masharti kwenye vyakula Sio kabisa!
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
😃😃😃😃😃 Jasiri haachi asili
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Ka mwehu 😂
 
Mwisho wake ni kufutuka futuka km PIG, na ukifika stage hio jamaa wanakua washaweka kambi kwenye UBONGO wanapiga misele utazima maumivu kwa pombe kali Ila hawafi kirahisiiii, nilishawahi kua na manzi tulikua in relationship since 2008 (akiwa kiportable) akawa anapenda sana kula mdudu ilipofika 2020 alikua kifutu yaan kafutuka futuka na radha ya kumpenda ikaishia hapo

Ila pia aliniambukiza ugonjwa mmoja wa bacteria ambao nilitumia pesa mingi kuutibu, relationship ended there sasa hivi sijui ana hali gani uko alipo maana alikua anajizima maumivu aliyokua anayapitia kwa kuumwa kichwa kwa kunywa pombe kaaaali usishangae mabinti wa R chuga kubugia mipombe mikali, learn from here
Sorry kwa lugha nitakayotumia ila wewe ni......... Yaani toka 2008 umadate na mtu mpaka 2020?? Ulikuwa una shida gani tena bora ulivyomwacha maana ulishampotezea muda sana khaaa
 
Sorry kwa lugha nitakayotumia ila wewe ni......... Yaani toka 2008 umadate na mtu mpaka 2020?? Ulikuwa una shida gani tena bora ulivyomwacha maana ulishampotezea muda sana khaaa
Long distance love kila mtu yupo mkoa wake tunakutana mara moja moja tu, natumai nimekupa jibu na hio ilikua ni mfano bad issue kuna kipindi alienda kujiendeleza Chuo wahuni wakawa wanamfokoa huko nikavunga kiume ukila na wewe kubari kuliwa, kamaliza Chuo akaanza kudai ndoa hadi nikashtuka huyu ana agenda gani ya Siri?

KATAA NDOA
 
Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo

The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.

Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Kwan unataka kuishi milele?? Pork ni msosi tu kama misosi mingine
 
Long distance love kila mtu yupo mkoa wake tunakutana mara moja moja tu, natumai nimekupa jibu na hio ilikua ni mfano bad issue kuna kipindi alienda kujiendeleza Chuo wahuni wakawa wanamfokoa huko nikavunga kiume ukila na wewe kubari kuliwa, kamaliza Chuo akaanza kudai ndoa hadi nikashtuka huyu ana agenda gani ya Siri?

KATAA NDOA
Hata kama ni long distance jamani, unless muwe mlianza kdate mkiwa wadogo sana below 18. Miaka 12 sio mchezo ingawa nimeshuhudia kapo imedate zaidi ya miaka 15 na mwaka jana wameoana ila walianza date wadogo sasa hivi wapo kwenye 30's
 
Hata kama ni long distance jamani, unless muwe mlianza kdate mkiwa wadogo sana below 18. Miaka 12 sio mchezo ingawa nimeshuhudia kapo imedate zaidi ya miaka 15 na mwaka jana wameoana ila walianza date wadogo sasa hivi wapo kwenye 30's
Ndio tulitoka huko below 18 toka secondary na tukadumu mda wote huo, ni mapenzi tu na malengo Ila watu hubadirishwa na watu na mazingira hilo pia usilisahau, Ila sitalizungumzia hapa itoshe kusema sio kila unachokihitaji kitatimia
 
Unamkosea sana huyo dada yetu. Na wasabato sijui mpoje yaani huwa hamueleweki, kuna muda mnakuwa kama wavaa kobazi ila ukitazama tena kwa undani unaona wavaa kobazi ni watu poa tena kuwashinda ninyi maana tunakula nao pia mdudu.

Mnazingua sana wasabato, hebu mrudishe dada yetu kama umemshindwa. Anaachaje sasa kula mdudu.
 
Back
Top Bottom