Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Germany Sheffield ndio mbwa gani? Muandike majina sahihipaka mwitu hawauzwi unatakiwa ukawinde mwituni kwa kutumia mbwa wa Germany Sheffield
Hii picha imenitamanisha ngoja nikagonge kitimoto kwa Njau
Tuache utani hili limdudu litamu sana
Hiyo siyo sumu wala sio dhambi. Kama dhambi anavunja amri ipi katika kumi alizopewa Musa?Kwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?
😃😃😃😃😃 Jasiri haachi asiliMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Ka mwehu 😂Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Sorry kwa lugha nitakayotumia ila wewe ni......... Yaani toka 2008 umadate na mtu mpaka 2020?? Ulikuwa una shida gani tena bora ulivyomwacha maana ulishampotezea muda sana khaaaMwisho wake ni kufutuka futuka km PIG, na ukifika stage hio jamaa wanakua washaweka kambi kwenye UBONGO wanapiga misele utazima maumivu kwa pombe kali Ila hawafi kirahisiiii, nilishawahi kua na manzi tulikua in relationship since 2008 (akiwa kiportable) akawa anapenda sana kula mdudu ilipofika 2020 alikua kifutu yaan kafutuka futuka na radha ya kumpenda ikaishia hapo
Ila pia aliniambukiza ugonjwa mmoja wa bacteria ambao nilitumia pesa mingi kuutibu, relationship ended there sasa hivi sijui ana hali gani uko alipo maana alikua anajizima maumivu aliyokua anayapitia kwa kuumwa kichwa kwa kunywa pombe kaaaali usishangae mabinti wa R chuga kubugia mipombe mikali, learn from here
Long distance love kila mtu yupo mkoa wake tunakutana mara moja moja tu, natumai nimekupa jibu na hio ilikua ni mfano bad issue kuna kipindi alienda kujiendeleza Chuo wahuni wakawa wanamfokoa huko nikavunga kiume ukila na wewe kubari kuliwa, kamaliza Chuo akaanza kudai ndoa hadi nikashtuka huyu ana agenda gani ya Siri?Sorry kwa lugha nitakayotumia ila wewe ni......... Yaani toka 2008 umadate na mtu mpaka 2020?? Ulikuwa una shida gani tena bora ulivyomwacha maana ulishampotezea muda sana khaaa
Kwan unataka kuishi milele?? Pork ni msosi tu kama misosi mingineSubiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo
The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.
Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Hadi ng'ombe ana madharaMkuu nguruwe ana madhara sio kama nasema hivi labda kwasababu ya mambo ya imani hapana,imethibitishwa kutoka kwa madaktari mbona mnakuwa wakaidi.
Hata kama ni long distance jamani, unless muwe mlianza kdate mkiwa wadogo sana below 18. Miaka 12 sio mchezo ingawa nimeshuhudia kapo imedate zaidi ya miaka 15 na mwaka jana wameoana ila walianza date wadogo sasa hivi wapo kwenye 30'sLong distance love kila mtu yupo mkoa wake tunakutana mara moja moja tu, natumai nimekupa jibu na hio ilikua ni mfano bad issue kuna kipindi alienda kujiendeleza Chuo wahuni wakawa wanamfokoa huko nikavunga kiume ukila na wewe kubari kuliwa, kamaliza Chuo akaanza kudai ndoa hadi nikashtuka huyu ana agenda gani ya Siri?
KATAA NDOA
Ndio tulitoka huko below 18 toka secondary na tukadumu mda wote huo, ni mapenzi tu na malengo Ila watu hubadirishwa na watu na mazingira hilo pia usilisahau, Ila sitalizungumzia hapa itoshe kusema sio kila unachokihitaji kitatimiaHata kama ni long distance jamani, unless muwe mlianza kdate mkiwa wadogo sana below 18. Miaka 12 sio mchezo ingawa nimeshuhudia kapo imedate zaidi ya miaka 15 na mwaka jana wameoana ila walianza date wadogo sasa hivi wapo kwenye 30's
Nimejikuta nacheka kwa sauti kubwa.Aache kufaidi nyama nzuri kisa mafundisho ya Hellen white?