Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,784
Kabla hamjaoana alipokukubaalia tu lazima denda ulilinywa. Shida ikwapiHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hamjaoana alipokukubaalia tu lazima denda ulilinywa. Shida ikwapiHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Mpaka mtolewe roho ndo mjue ndoa hazifai!!!!??? Tushawaambia fanyeni maisha yenu, Madem kibao mtaani...unaoa ili ugundue kitu gani!?Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Pass my apologies to him, I won't be able to be there todayHii picha imenitamanisha ngoja nikagonge kitimoto kwa Njau
Sawa mtoto wa singool maza nimekusikiaMpaka mtolewe roho ndo mjue ndoa hazifai!!!!??? Tushawaambia fanyeni maisha yenu, Madem kibao mtaani...unaoa ili ugundue kitu gani!?
Aya sasa, huwa mnasema mwanaume ndo kichwa cha familia...onesha ukichwa wako sasa acha kulialia mitandaoni.
#KATAANDOA
Anatafuta kufa bila sababuMuache mtu ale anachopenda wewe kinakuhusu nini?
Wazungu ni watu hatari sana wametuletea mpaka nyama za nguruwe wa kutengeneza maabara na kutukataza kuwinda nguruwe pori na digidigi.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kwani yeye akila wewe unadhurika na nini?,Yaani pilipili ale Mwingine kuwashwa awashwe Mwingine.Halafu koma kumwita Kitimoto gudude.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
Acha ushirikina Wewe.Tafuta majani ya mgomba mchemshie pamoja na nyama ya paka mwitu halafu mpe anywe mchemsho wake haitafika wiki ataacha.
Mrs Lissu kitaalam hii imekaaje ?Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Kwangu ni kharamu sheikhy😆Mrs Lissu kitaalam hii imekaaje ?