Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Iringa wote wangekua vichaa kama kila anayekula kitmoto angeugua cysticercosis, kimsingi takwimu za dunia zinaonyesha huo ugonjwa ni mkubwa nchi za mashariki ya mbali kuliko huku.
Kumbe unajua kua huo ugunjwa upo na unatesa? Sio mashariki ya mbali huo ugonjwa wengi wanaokula kitu cha mdudu wanaugua pasina wao kujua
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Ninyi na wale wenzenu wa Sala 5 hufurahi Sana lumnasa mkatoliki, lakini niwabie, baadaye huwasumbua Sana. Dini ni tamaduni, mtu tangu amezaliwa ana tamaduni Fulani simeshaingia dini, eti aje aziache ukubwani? Atakuwa snajifungia ndani mwenyewe anasali rozari, anagonga mdudu anamwagilia moyo kwa castle bariiidi, na anadikiliza nyimbo za bikira maria
 
Basi Mimi ndio napenda Mbuzi balaa maana hana madhara makubwa sio PiG mnyama hatari kwa afya, Mbuzi napenda sana supu ya Kichwa mzee tamu balaa
Mzee wangu yupo 70+ na ndio alie wafundisha kukitafuna ila hana tatizo lolote la kiafya
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Dah hivi wewe unaijua test ya kitimoto/mdudu a.k.a mbuzi katoliki baba ukilionja tu hutakaa kuliacha mpk utajilaumu ulichelewa wapi
 
Ninyi na wale wenzenu wa Sala 5 hufurahi Sana lumnasa mkatoliki, lakini niwabie, baadaye huwasumbua Sana. Dini ni tamaduni, mtu tangu amezaliwa ana tamaduni Fulani simeshaingia dini, eti aje aziache ukubwani? Atakuwa snajifungia ndani mwenyewe anasali rozari, anagonga mdudu anamwagilia moyo kwa castle bariiidi, na anadikiliza nyimbo za bikira maria
Mapenzi hayana dini
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa wataalam bana sijui wanabifu gani na kitimoto. Hayo matatizo wanayaona wao tu mtaani ,mbona sisi hatuyaoni.....?
Mdudu wanamuonea sana,ngoja nimshitue mwanangu Abdi tukajipoze kulinda heshima yake
 
Mwache ale afukuze mapepo humo ndani...ulishawahi kusikia wakatoliki wana mapepo?
 
Mwisho wake ni kufutuka futuka km PIG, na ukifika stage hio jamaa wanakua washaweka kambi kwenye UBONGO wanapiga misele utazima maumivu kwa pombe kali Ila hawafi kirahisiiii, nilishawahi kua na manzi tulikua in relationship since 2008 (akiwa kiportable) akawa anapenda sana kula mdudu ilipofika 2020 alikua kifutu yaan kafutuka futuka na radha ya kumpenda ikaishia hapo

Ila pia aliniambukiza ugonjwa mmoja wa bacteria ambao nilitumia pesa mingi kuutibu, relationship ended there sasa hivi sijui ana hali gani uko alipo maana alikua anajizima maumivu aliyokua anayapitia kwa kuumwa kichwa kwa kunywa pombe kaaaali usishangae mabinti wa R chuga kubugia mipombe mikali, learn from here
Ushaona wapiiii
Ni uongooo huoooo
Uongo huooo
Mdudu anaesavaivu amechemshwa kwny joto ta c'100 na akapitishwa ktk mafuta na kukaushwa ni mdudu yup??
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Acha kufuatilia mambo yasokuhusu.
 
Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Dini yenu inakataza kula pork ila inaruhusu nyie kunyonyana mate, hiyo ni dini au utopolo wa dini ?
 
Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo

The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.

Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Umetoa terminologies nzito nzito kutoa empty threats.
 
Basi Mimi ndio napenda Mbuzi balaa maana hana madhara makubwa sio PiG mnyama hatari kwa afya, Mbuzi napenda sana supu ya Kichwa mzee tamu balaa
Nikimaliza kusoma huu uzi lazima nikaagize nusu kilo ya Kitimoto ili kukata moto maneno ya wadwanzi wanaoichafua hii nyama.
 
Back
Top Bottom