Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Around Shy... Inshallah Sunday Nitakuwepo
Ahaaaaas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Around Shy... Inshallah Sunday Nitakuwepo
Umesahau na ndizi 2 wakuchoma na kachumbari kiasi .[emoji8]Ndo nyama Bora kabisa kuliwa ila ichomwe vizuri japokua sidhani kama umemanisha hilo
Samaki si wapoAhaaaaas
Samaki si wapo
wew nimbea sasa kama uliona facebook mbona unasema hukuu !
Bas msikulane dendaa, khaaaahHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha nawewe bila shaka ushalishwa zile steki steki bila kujua anakulisha kimahaba.......anywei kuna vitu ni ngumu kuacha hata jamaa yangu mkewe aliahidi kuacha Pombe,baada ya Ndoa kama miezi 6 akaanza kumuomba mumewe angalau moja per day [emoji853]........saizi fridge linapendeza kabisa na jamaa hakuwa anakunywa saizi wote walevi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aache kufaidi nyama nzuri kisa mafundisho ya Hellen white?
Mbuzi huyu huyu mnyama au? Tutolee ashuo hapaaKwangu mimi nyama tamu kuliko zote ni mbuzi na kondoo sio uyo sijauwona utamu wake.
Nakuja fasterTriple B
Nipe nyama yako basi niiyonje.Mbuzi huyu huyu mnyama au? Tutolee ashuo hapaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iringa wote wangekua vichaa kama kila anayekula kitmoto angeugua cysticercosis, kimsingi takwimu za dunia zinaonyesha huo ugonjwa ni mkubwa nchi za mashariki ya mbali kuliko huku.Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo
The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.
Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Usinikumbushe majiko ya pale CCMIringa wote wangekua vichaa kama kila anayekula kitmoto angeugua cysticercosis, kimsingi takwimu za dunia zinaonyesha huo ugonjwa ni mkubwa nchi za mashariki ya mbali kuliko huku.
Badala yake mimi nipo tu unaweza nipasia ofa hiyo🤭😊Najua mama nimetania nisamehe