Wapi umesikia mbuzi wanahatarisha afya ya mlaji, juzi Serikali imetangaza ugonjwa mpya unaosabishwa na PiG huna habari?Basi naongea na mtu asiyeelewa kitu ,unaujua ugonjwa unaitwa Gout (gauti)
mkuu unaweza kudhani kama natania lakini mie nakwambia ukweli achana nae ana madhara nakumbuka niliumwa wiki nzima simtamani tena mpaka leo.Baada ya kula ulipata athari gani?
Serikali gani hiyo? Kwahiyo gout gauti) hujawahi kusikia?Wapi umesikia mbuzi wanahatarisha afya ya mlaji, juzi Serikali imetangaza ugonjwa mpya unaosabishwa na PiG huna habari?
Una allergies zako huko,mfano Dada yangu hali mnyama yoyote mwenye miguu minne,anakula ndege tu na Sea food basi.......mkuu unaweza kudhani kama natania lakini mie nakwambia ukweli achana nae ana madhara nakumbuka niliumwa wiki nzima simtamani tena mpaka leo.
Anza nawe kula gudude ni gutamu sanaMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
sio allergies nilimuona daktari aliniambia naumwa kwa sababu ya minyoo yanayopatikana kwenye nyama ya nguruwe.Una allergies zako huko,mfano Dada yangu hali mnyama yoyote mwenye miguu minne,anakula ndege tu na Sea food basi.......
Wapi ulisikia wanasema usile mbuzi utapata Gout? Serikali imetangaza Juzi wewe hata habari huangalii na husikilizi utajulia wapi?Serikali gani hiyo? Kwahiyo gout gauti) hujawahi kusikia?
Sasa kama unakula bila maandalizi sahihi,hata wanyama wengine utadhurika tusio allergies nilimuona daktari aliniambia naumwa kwa sababu ya minyoo yanayopatikana kwenye nyama ya nguruwe.
Sasa hiyo ni sumu?akila sumu si atakuwa kapenda.Kwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?
Inawezekana we ni mwangaliaji mzuri hongera,ila nilitaka ujue kuwa hata huyo mbuzi anamadhara usisubilie utangaziwe na serikali, nilidhani upo smart kutafuta taarifa ili ujue nn kina madhara kwako ila unamsubilia ummy akutangazieWapi ulisikia wanasema usile mbuzi utapata Gout? Serikali imetangaza Juzi wewe hata habari huangalii na husikilizi utajulia wapi?
Wewe unakulaga vingapi na yeye anakuwa hajui? Uwe unampa kisogo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Kiswahili cha Iringa kule Mteraaaa.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Sasa kama mambo denda hamna ni dhambi analia nini amwache ale kwa raha zakeUna dhambi sana[emoji28] ni machukizo kwa mthabato kunyonya denda, ni machukuzo kwenda chumvini au kunyonywa boloyangi, style ya sex inayokubaiwa na sisi wathabato ni misionary tu tena tusivue nguo zoye na taa tuzime. Uthabato hoyee
Around Shy... Inshallah Sunday NitakuwepoMuache mtu ale anachopenda we kinakuhusu nin
Acha nifurahipaka mwitu hawauzwi unatakiwa ukawinde mwituni kwa kutumia mbwa wa Germany Sheffield