Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Jana amekwambia juu ya kuleta mada hi Hulu jf!?
 
Hata nikiongea na strangers
 
Sahihi Kabisa. Kama mnapendana na mnaaminiana kitu gani kingine ambacho anahisi mume hapswi kujua kama sio mambo ya kishenz
Ukimuamini mtu unaweza kumuekea mitego ya kishenz kama hiyo!?
 
Na ukichepuka inanasa mke wangu nakuangalia tu unavyoomba udhauri kwa wajinga wenzako huku jf
 
Basi kama kaweka mtego na umefanikiwa.. hiyo sayansi alotumia hata kama ni ushirikina na haukudhuru ni vyema akaufanyia promo auuze hata ulaya.. tumechelewa sana hizi ndo teknolojia zetu[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…