Makosakuumbwa
Senior Member
- Mar 28, 2015
- 141
- 205
Nunua Cheni au Hereni ya Dhahabu Vaa ila iwe Pure Gold.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonge la changu dowaTumekujua kupitia huu uzi-Mumeo ameweka hizo program kwenye simu take maana take hakuamini kwa nini unataka sisi tukuamini kama mumeo hakuamini.
Acha umalaya,kama ndio imekushinda rudi kwenu.
Ukishaolewa hamna hicho kitu. Privacy yake ni yako na yako ni yake.My Personal privacy.
Mi sina jazba nae naelez fact kulingana na Uzi wako,narudia tena kwa kuambia mpaka Mumeo amekuwekea hiyo spying app maana yake hakuamini.Punguza jazba sijaolewa na kakaako. Kama huna utatuzi si ulale zako tu, sio unahukumu mtu ambae humjui.
Nna mashaka na akili yako.Kuna mahali niliambiwa atakuwa kanitupia kajini wa kurekodi nayofanya yanampa taarifa
Mimi simtafutimnafiki ni mshauri mchangia mada wa jf.Anakupenda sana, na siku ukimwambia umemchoka atafurahi na kukutakia kila la kheir. Nadhani Ushamjua mnafki hapo
Huyo nipe namba yake. Nimpatie kaziSalaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Ahahaaaaa......🤣🤣🤣😂🤣😂Kutaka kwako kuperekewa Moto na wahuni kutakupereka kubaya ...........tuliza mshono........kama ulizoea kukunwa kunwa hapa utaumia...............
Na wewe jiwekeeKama we ni muaminifu mbona hamna haja ya kukwazika kwani una privacy ipi ambayo hutaki mumeo ajue wakati ninyi ni mwili mmoja... Umeingia kwa ndoa acha kuwa na mambo mengi tulia, Me mke wangu nina mpango wa kwenda kumuwekea ile ya kunasia😎
Pole sana, ni kweli hata kama ni mume wako bado kuna personal privacy unahitaji. Haya mambo yapo, miaka ya nyuma niliwahi kukutana na mtu ambaye alikuwa kama ana pepo ndani yake na ukienda popote pale na kumjadili anafahamu kila kitu ulichomwongelea.
Suluhisho la hili ni kuombewa kwa mtumishi wa Mungu ambaye yupo vizuri. Nadhani kuna kitu anatumia kukuspy na mostly ni jini/pepo.
Inawezekana pia lipo ndani yako.
Fanya ukaombewe itakwisha hiyo. Japo pia baada ya hapo inaweza ikawa mwisho wa ndoa yenu.
Mumeo ni mshamba,mwambie aache ushamba maana ukitaka kuchepuka utachepuka tu hata afanyeje. Unaweza kuwasiliana na mchepuko wako kwa Barua tu na si simu na mkamalizana na maisha yakaenda.Salaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani[emoji120][emoji19].
Namuwekea yeye maana ndo ninapaswa kuishi nae kwa akili, kama na yeye pia ndo njia anayoona ni sahihi basi akaniwekee pia ila mimi tayari lipo kwenye mpango wangu ni ratiba za kazi tu zinanibanaNa wewe jiwekee