The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
Wakuu kwema?
Kuna jambo limekua likinitafuna kwa miaka mingi saana kuhusu mimi na mama yangu sina hata chembe ya upendo nae ila hela namtumia namsaidia kwa maana ni Maskini samahani kwa kusema hivi.
kwa kifupi kabisa mimi nimetoka kwa mama yangu nikiwa na umri wa miaka 3 nakuja kuonana na mama yangu nikiwa na umri wa miaka 19 kwa kipindi chote hicho mama yangu sikuwahi kumuona wala kusikia sauti yake siku nakutanishwa nae nilishindwa kufahamu mama mkubwa ndo alinitambulisha.. hakuwahi kunilipia ada, hakuwa kunipa hela ya yoyote .
Mimi nimelelewa na Bibi yangu na baba nampenda saana bibi yangu kuliko mama yangu mama yangu huwa ananipigia simu analalamika kwa nini simpigii simu? nakosa cha kumjibu namuomba tuu msamaha natamani kumpenda ila nashindwa naombeni msaada kama naweza kuwa na upendo na mama yangu
Asanteni.
Kuna jambo limekua likinitafuna kwa miaka mingi saana kuhusu mimi na mama yangu sina hata chembe ya upendo nae ila hela namtumia namsaidia kwa maana ni Maskini samahani kwa kusema hivi.
kwa kifupi kabisa mimi nimetoka kwa mama yangu nikiwa na umri wa miaka 3 nakuja kuonana na mama yangu nikiwa na umri wa miaka 19 kwa kipindi chote hicho mama yangu sikuwahi kumuona wala kusikia sauti yake siku nakutanishwa nae nilishindwa kufahamu mama mkubwa ndo alinitambulisha.. hakuwahi kunilipia ada, hakuwa kunipa hela ya yoyote .
Mimi nimelelewa na Bibi yangu na baba nampenda saana bibi yangu kuliko mama yangu mama yangu huwa ananipigia simu analalamika kwa nini simpigii simu? nakosa cha kumjibu namuomba tuu msamaha natamani kumpenda ila nashindwa naombeni msaada kama naweza kuwa na upendo na mama yangu
Asanteni.