Kumpenda mtu ni hisia "Feeling" wewe huna hisia na Mama yako coz hakuishi na wewe,huna hisia nae,
Inaonekana kulikua na matatizo kati ya Baba yako na Mama yako,bila shaka waliachana ukiwa mdogo sana,
Sasa,ugomvi wa wazazi wako,wewe haukuhusu,hakuna umuhimu wa wewe sasa hivi kujua nini hasa kilitokea,kua karibu na Mama yako na utaanza kua na hisia nae kisha utampenda,kama una kwako,mchukue Mama yako uishi nae,kumtumia tu hela haitoshi,mzazi huhitaji upendo toka kwa mwanae,
The way utakavyodeal na Mama yako basi tegemea na watoto wako watadeal na wewe hivyo hivyo,bado hujachelewa,do something ili uwe karibu na Mama yako,upendo utakuja wenyewe tu,it's a self control.