ujanijibu maswali niliyouliza.nimejaribu Saana nimeshindwa
Chekecha akili Yakomalezi mama yangu hakuwa na maisha mazuri..
tumeamrishwa kuwaheshimu wazazi wetu. hilo ni agizo. wewe mheshimu tuWakuu kwema?
Kuna jambo limekua likinitafuna kwa miaka mingi saana kuhusu mimi na mama yangu sina hata chembe ya upendo nae ila hela namtumia namsaidia kwa maana ni Maskini samahani kwa kusema hivi.
kwa kifupi kabisa mimi nimetoka kwa mama yangu nikiwa na umri wa miaka 3 nakuja kuonana na mama yangu nikiwa na umri wa miaka 19 kwa kipindi chote hicho mama yangu sikuwahi kumuona wala kusikia sauti yake siku nakutanishwa nae nilishindwa kufahamu mama mkubwa ndo alinitambulisha.. hakuwahi kunilipia ada, hakuwa kunipa hela ya yoyote .
Mimi nimelelewa na Bibi yangu na baba nampenda saana bibi yangu kuliko mama yangu mama yangu huwa ananipigia simu analalamika kwa nini simpigii simu? nakosa cha kumjibu namuomba tuu msamaha natamani kumpenda ila nashindwa naombeni msaada kama naweza kuwa na upendo na mama yangu
Asanteni.
si kweliutampenda akitoka duniani apo ndipo utaijua thamani yake.
Umekurupuka,hujaelewa andiko la huyu mtu.Kumpenda mtu ni hisia "Feeling" wewe huna hisia na Mama yako coz hakuishi na wewe,huna hisia nae,
Inaonekana kulikua na matatizo kati ya Baba yako na Mama yako,bila shaka waliachana ukiwa mdogo sana,
Sasa,ugomvi wa wazazi wako,wewe haukuhusu,hakuna umuhimu wa wewe sasa hivi kujua nini hasa kilitokea,kua karibu na Mama yako na utaanza kua na hisia nae kisha utampenda,kama una kwako,mchukue Mama yako uishi nae,kumtumia tu hela haitoshi,mzazi huhitaji upendo toka kwa mwanae,
The way utakavyodeal na Mama yako basi tegemea na watoto wako watadeal na wewe hivyo hivyo,bado hujachelewa,do something ili uwe karibu na Mama yako,upendo utakuja wenyewe tu,it's a self control.
Wewe ambaye hujakurupuka na umeelewa andiko,uko wapi huo mchango wako kwa mleta mada?Umekurupuka,hujaelewa andiko la huyu mtu.
Si bure wewe una laana. Ungesema alikutelekeza,ningekuelewa. Kama alishindwa kukulea kisa maisha magumu,akapata wa kumpiga kampani,hao ndo wenye makosa. Huenda hata nauli ya kukupeleka kwake au yeye kumleta ulipolelewa,alitegemea apewe,na hakupata wa kumpa. Leo hii,eti sina upendo na mama. Kumtumia,ni ishara kuwa wewe umejipata na msaada bado anategemea kwa watu. Sasa, ulitaka afanyeje? Kwani yeye hakupenda kujilelea? Una tatizo si bure wewe. Ukute umejiona unakaa geto,midemu inapishana,pengine anasubiri umjengee msingi wa maisha,simu zake unaona kero. Pole yako.malezi mama yangu hakuwa na maisha mazuri..
Kusema tu mama yake masikini sana,na yeye leo hii anapata chochote,hujaona kasoro? Limbukeni tuuKuna watu wamezaliwa hawawajui mama zao!. We leo hii unamchukia mama ako na husemi chanzo ni nin mpaka kumchukia we una matatizo binafsi ndugu!..
Au maelezo hayajakamilika kuna jambo hutaki Kuliweka sawa ila sio kumchukia maza kisa hujaishi nae kwa muda mrefu
Sasa hapa huoni kua wewe ndiye unayekurupuka? hujui hata umemquote nani,Soma andiko namba #28 la stephot ndio nilichoomasnisha acha kukurupuka
Kama ni hivyo sio kosa lake bado una haki ya kumthamini kama mama yako.malezi mama yangu hakuwa na maisha mazuri..
Baba ako na bibi yako walikuwa na maisha mazurimalezi mama yangu hakuwa na maisha mazuri..