Hahahha anakutumia wazee wa kaziTofauti na huko mbele, huku kwetu ukimkaribisha jirani kwako pamoja na kufaidika kwa fadhira zako, anatumia ku-scan nyumba yako nje ndani badala ya siku kadhaa unapata ugeni wa majambazi usiku mwigi.😀
Hahahahah alijiona star wakati kapanga uswahilini?Kuna kijana mdogo sana amehamia hapa mtaani nyumba nzuri fensi nzuri, pesa anayo ila alijisahau akawa na madharau, Yuko bize na mambo yake tu, kuna siku alivamiwa na majambazi usiku akapiga kelele za kufa mtu hakuna aliyetoka, wezi wakachukua vitu vya thamani, asubuh ndo watu wanaenda kumpa pole.
Alijifunza siku hizi ndo anasalimia watu barabarani
Eeh ukiwa na chombo lazma watu wakujueKitaani nilicho NOTE watu wenye unafuu wa maisha lets say labda ana uchawi wa kijapani/mzungu,"Mtama kwa Watoto aka Mpunga" au utajiri wa kibongo nyumba inayoeleweka basi vijana wanamfahamu sana.
Utakuwa mtu wa ibada sana bila shakaWewe sijui ni wangapi.. Unatoa ushauri huu wa jumuiya.. Upo sahihi kabisa kabisa.. Jumuiya ni kitu muhimu sana sana.. Nimepitia situation za kuhamia mitaa ya vigogo aisee kabla sijajiunga jumuiya nilijuta kuishi huko. Ila baada ya kujiunga mimi ndie m.kiti wao.. Haijalishi mavyeo yao Serikalini au wapi? Maisha yamekuwa mazuri yenye amani na mshikamano mkubwa.
Walioanzisha jumuiya aisee. Mungu asiwasahau katika ufalme wake.
Tatizo tunaogopana sana.Eeh tabia ya kufunga vioo nayo sio hio! Mie huwa napenda kusalimia tu majirani ila sipendi mazoea nao 😅😅😅
Hahahaha..that's trueMtu mwenye uwezo huwa hahudhurii hivyo sijui vi party sijui visherehe gani.. Uswahilini ukiandaa shughuri huhitaji kualika mtu. Watajileta hata kabla ya muda.. Ila hiyo mitaa hakuna mtu anatime na hivyo vitu. Zaidi utashitakiwa kwa kuleta kelele na wezi.
Njia rahisi ni kutembelea vijiwe ambavyo unadhani utakutana nao! Kama kuna Car wash mtaani jimix hapo weekend nunulia vijana soda mpige soga! Kama kuna ka duka mahali unaweza pata hata mtindi ukawa unapiga piga story na watu maeneo hayo! Kama ni mtu wa dini jiunge na jumuiya uwe unakutana na wenzio kila weekend.Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Being genuine, being you.I don’t pretend to be alone,
I live my life to the fullest,
Binadamu ni wanafki na hao hao ni vyanzo vya matatizo
Hao hao unaotengeneza mazingira ya kuwasogelea wanaweza wakakuundia jambo ukashangaa na roho yako,
Sina mazoea ya kukaribisha watu Kwenye maisha yangu kwa sababu ya ujirani ,
Watu wanaflow kwenye maisha Natural kama nature inawahitaji muwe karibu mtakuwa bila kutumia nguvu.
msizoeane sana, jitahidi ukikutana nao salimia kwa unyenyekevu, ikiwezekana unashuka kwenye gari unawasalimia unaendelea na mmbo yako, hakikisha hamzoeani sana,na ukisikia kwa jirani kuna tatizo nenda kamsaidie endelea na mambo yako!!Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Watu wanaweza wakakuogopa kwa class uliojiweka ila ukiwa bro mchangamfu hata vijana watakupenda tu hapo mtaani! Weekend egesha hata car wash, tia nao strory mfano kuna mwana ni engineer life safi ila anachezaga draft na wana kitaani tu on weekends. Anazungusha kahawa bill kwake maisha yanaenda na anajulikana freshi!Tatizo tunaogopana sana.
Kuogopana ninakozungumzia ndio ile ukikaribisha jirani ataleta wezi,mara utalogwa,wataleta dharau yaani binadamu tunaogopana sanaWatu wanaweza wakakuogopa kwa class uliojiweka ila ukiwa bro mchangamfu hata vijana watakupenda tu hapo mtaani! Weekend egesha hata car wash, tia nao strory mfano kuna mwana ni engineer life safi ila anachezaga draft na wana kitaani tu on weekends. Anazungusha kahawa bill kwake maisha yanaenda na anajulikana freshi!
Watu wakuzoee ila sio ile sana mpaka mtu anajua unafanya kazi wapi! Anajua una asset au biashara gani beyond ambavyo alitakiwa akufahamu inaletaga dharau at last. Mie hiki ndio sipendagi
Kama vipi na huku jamii Fulani atokemo ili asiingiliane na watu kwa stori ama kubadilishana stori mbili tatu.Don't pretend like you're alone in this world, you're not alone at all. Na kuna maana yake ya wewe kuumbwa miongoni mwa wanadamu wenzio.
Compatibility!!!
Binaadamu tumeumbwa tuishi kijamii na nature imewekwa tukae hivo. Hakuna mtu asiyemuhitaji mwenzie hadi uone kua majirani si kitu au ushindwe kuingiliana nao.
Trust me nature inaweza kukupiga tukio moja tu hadi wewe mwenyewe ukarudi kwenye mstari... Mtoa mada kabla nature haijachukua njia zake get out na usalimiane na watu usije jutia. Tumeumbwa kama vidole vya mkono kidole kimoja hakiwezi jitenga pekee yake halafu kiseme kinaweza kutengeneza ngumi.
Kidole gumba ni kikubwa ila kinategemea vidole hivi vidogo kushirikiana ilie watengeneze ngumi imara. Hata kama una uwezo mkubwa mate hado hao watu wa chini unawahitaji kuliko kawaida.
Dah hio phobia hata mie ndio inanitesa ila mkiwa na watoto wakawa wamejenga urafiki inaboost mahusiano yenuKuogopana ninakozungumzia ndio ile ukikaribisha jirani ataleta wezi,mara utalogwa,wataleta dharau yaani binadamu tunaogopana sana
Mkuu watu ambao hatuna mazoea na wengine huwa tunadhani hawa wengine hawatuoni kumbe wanatuchora tuuu.Utashangaa jirani na mbali zaidi wote wanakufahamu wanakuangalia tu. Nikupe incident tatu zimetokea nikajua kumbe watu wanakuchora tu
1.niliharibikiwa na gari mbali kidogo na home nikachukua bajaj kurudi home kutafuta alternative, yule wa bajaj akaanza kukata mitaa nikamuuliza wewe unajua unapoenda? akasema blaza si unakaa pale pako hivi na hivi...nikaishiwa pozi
2.Nimeenda dukani hardware kununua vitu sasa nataka mtu apeleke nyumbani mimi naenda kazini, kaitwa bodaboda akapewa nampa maelekezo ananiambia aah blaza si kwenye kona pale hivi na hivi!
3.wengine nimekuta masela wanaziba mashimo barabarani wakaniwahi blaza wa pale hivi na hivi tutoe leo pozi likaisha
Yaani watu wote wanakufahamu unapokaa,unaendesha gari gani etc ila unapita huongei na mtu wanakuangalia tu. siku moja moja shusha kioo wasalimie watu mtaani.