Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilichokuelewa anapochepuka na wewe unaaibika maana mumeo ikizama dk 5 nyingi inalegea. Shoo inakata
Lazima wanawake wa mtaani ambao mume wako anachepuka nao watahoji mwenzetu kawezaje kuvumilia kuwa na mume kama huyu na hadi wamezaa watoto
Hilo linakukosesha amani
Wanaume vibamia,single goal,dhaifu na goigoiii wanaongoza kuchepuka maana wanahisi wakifanya hivo wanaficha madhaifu yao!!!!Habari wakuu, leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.
Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k
Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.
Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.
Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana? Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.
Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Mnampotosha mwenzenuAiseee,pole sana
Amua lolote unaloona ni sahihi ila nazani ukichepuka na mwanaume wa mbali itakuwa ni vizuri zaidi kuliko kuvunja ndoa
Mpe Mshaur aisee,Hapo sitii neno ni pagumu
Hili pia nmejiuliza Sana,Huyo hana shida ya nguvu za kiume ni mchepukaji,kwahiyo akirudi nyumbani anakuwa hana nguvu tena,atawezaje kuwa mchepukaji na hana nguvu za kiume...?
Acha ushamba basiSasa unataka tukufundishe kumpenda tena?
Wewe sepa zako, maana kifuatacho aitiviii, unaweza ukaifyeka hiyo mashine na kisu..
Safi sana kaka mkubwaDah! Pole Sana aisee,
Suluhisho sio nawe kuchepuka,
Hakuna mwanamke anasifiwa uzinzi,
Utajiharibia na kuachika kabisa kwny ndoa yako
Uyo mumeo,mkalishe chini,
Kaa ongea nae vizur tatzo nn,anataka afanyiwe nn ili aweze kuenjoy tendo.
Nnachoamini
Mwanaume Huwez kua na tatzo la nguvu za kiume, ukawa na guts za kuchepuka nje, uko nje utaaibika zaidi na kutangaziwa Siri yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tokea ananiapproach, hadi ndoa inamaana hajawah kiwa na hisia na mimi? Halaf vipi alivyo anza kusimamisha hata kwa dakika chache hizo hakuwa na hisia na mm? Maana nlikuta mnara hausomi kabisa, huwa anadai halali nao anajifurahisha tu lakini hainiingii akilini mwanaume kuchepuka halaf asilale naoKwa Maelezo yako navyoona yeye ndiyo hana hisia na wewe na alishajua hilo ndiyo maana anachepuka ,kagundua akiwa na wewe "Mashine" haisimami ila akienda nje "Mandonga Mtu kazi Show Show".
Shida siyo kunjunjana shida ni nimpende tena kama mwanzo yaan ile doa aliloliweka la kunisaliti liisheKakosea tu kuandika sio kwamba hana hisia nae Ila anataka awe anamjunja 24/7 sasa hajui anafanyaje anahitaji mtu anaejua mbinu, mstari wa mwisho ndio umetoa summary ya paragraph nzima kwamba jamaa hapigi Mambo hadi bidada aombe na anapigwa kamoja tu
Sasa yeye anataka apigwe round 8 9 hadi 10 anashangaa mashoga zake wanamsimulia wao wanapigwa round 3 4 mpaka 5 yeye anapigwa round moja tu, hicho ndio kinamuuma hamwagi maji akipigwa kimoja basi itamlazimu kujimaliza mwenyewe maana anakua hajafika popote
Tunshaur dada yetu,Safi sana kaka mkubwa
Sio kweli aisee,Wanaume vibamia,single goal,dhaifu na goigoiii wanaongoza kuchepuka maana wanahisi wakifanya hivo wanaficha madhaifu yao!!!!
Pole sana ... Sada na wewe sii utafute wakukupoza minyege jamani.Habari wakuu, leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.
Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k
Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.
Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.
Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana? Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.
Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Hajanikuta bikra hvyo najijua niko vzuri yeye tu ndo aliamua kuchepuka na sikutegemea kwa hali yake kama atafanya hvyo, kwahyo usiseme kwamba simvutii au labda siko vzuri, kwanza kanifanya niwe na style moja maana ukiweka style nyingine inalala sekunde zero kwahyo mnakuwa na style moja ili msogeze dakikaKuna mwanamke ukiwa nae mashine inakosa hamu alafu kuna mwanamke ukiwa nae kila wakati unataka uwe unamtia tu so emu jaribu kutofauti yeye yupo kwenye kundi lipi?