Changamoto nilizokumbana nazo hadi sasa.
1.Wadudu( Viwavi vamizi). Dawa nilizotumia Duduba,Wilcrom,Master. Zote zimefanya vizuru. Gharama kichupa cha mils100 ni 5000 na 10,000/= kwa Master.
Nb. Dawa za kuthibiti hawa wadudu ni nyingi inategemea hapo ulipo zipi zilizopo.
2.Mchwa kutafuna mahindi. Hii ndo changamoto kubwa inayonitesa. Dawa za mchwa ni gharama sana. Lita moja ambayo inatosha kwenye ekari moja ni Tsh.70 000/=. Kichupa kidogo cha mils 100 ni elfu 22,000= Dawa inaitwa Gradinet,nilifanikiwa kumudu hiyo ya elfu22,000 ni nzuri sana japo haikutosha.
Changamoto zingine ni za kawaida. More updates to come hadi mavuno.
Sent from my SM-G955U using
JamiiForums mobile app