Mwana umleavyo ndivyo akuavyo. Ameshazoea Kuona ................... Zao Sasa anawatunishia kifuaππππ€£π€£π€£........Kitoto kijinga hiki,kinajipiga kifua sasa
Eti kunitaja na nimejisikia faraja,unamjibu waziri mdandaoni kwa herufu kubwa,Unamfokea! MhMwana umleavyo ndivyo akuavyo. Ameshazoea Kuona ................... Zao Sasa anawatunishia kifuaππππ€£π€£π€£........
Nakumbuka mwamba Magufuli kule mwanza gerezani mfungwa alisema yule askari anawanyanyasa , yule askari kuulizwa anasema Magu labda amekuja ili yeye ainuliwe.... Wewe we we we kuliwaka moto.....
Sasa haka katoto nani wa kukawashia moto????
Swali la kichovu umeona namba maalumu ya maafa imetoka, acha ufalaWewe umechangia sh ngapi ? Hata kwa kufuata taratibu chini ya ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa ?
Mhh ya kweli hayaaaaaaNi mchepuko WA piemu na arasii WA dar
Mkuu@extrovert kwanini unacheka?Huyu binti
Ni muislamu?
Mtoto ana akili za kujiongeza sana, hapo kapangua kwa kujifanya alikuwa na idea ya kutengeneza foundationπ! Sema kwa kuwa ana tako hilo linazungumzika.Mkuu@extrovert kwanini unacheka?
Kitengo cha maafa kilishaaibika tangu zamani.Chizi huyo wamfundishe adabu anaaibisha kitengo cha maafa
Kati ya Niffer tapeli na sisi tunaotaka alipe kodi ni nani mwenye roho mbaya?Wabongo kwa roho mbaya
Kwani yeye ndy wa kwanza kufata mzig nje ya nchi π
Ova
Duh huyu ana utoto sana . Anajua nguvu ya Waziri Mkuu ? Amewezaje kuandika hivi baada ya Tamko la waziri mkuu ? Hii ni dharau kubwa sana !Mfanyabiashara maarufu Jennifer Jovin, anayefahamika kama Niffer, ametoa majibu yake baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, kumtaja katika hotuba yake ya hadhara akitaka afuatiliwe na kueleza nani aliyempa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia ajali ya kuporomoka kwa gorofa la Kariakoo.
Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Kupitia majibu yake yaliyojaa shukrani na kueleza nia njema, Niffer amesema:
"Kwanza kabisa, Alhamdulillah, namshukuru sana Allah kwa kunipa nafasi ya kuiona siku ya leo. Kwa kweli, ni jambo kubwa sana kwangu kuona Waziri Mkuu wa nchi yangu ametaja jina langu mbele ya hadhara ya watu mashuhuri. Hii ni ndoto kubwa iliyotimia kwa ulimwengu wa roho."
Niffer ameeleza kuwa nia yake kuu ilikuwa kusaidia wahanga wa ajali hiyo, akisisitiza kuwa hakujua sheria zinazohusiana na uchangishaji wa fedha kwa ajili ya mafaa kama hayo. Ameeleza:
"Nilikuwa tayari tangu mwanzo kutoa ushirikiano kwa Serikali na jamii kwa ujumla. Niliomba muongozo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa kabla ya kuanza zoezi hili. Ninaamini nia yangu haikuwa mbaya, na kupitia changamoto hii, nimeona umuhimu wa kuwa na taasisi inayotambulika rasmi, Niffer Foundation."
Waziri Mkuu Majaliwa, wakati akizungumza eneo la Kariakoo, alisisitiza kuwa hakuna mtu anayepaswa kuchangisha fedha bila kibali maalum kutoka serikalini na akatoa agizo kwamba Niffer atafutwe ili aeleze ni nani aliyempa mamlaka hiyo.
Soma, Pia: Jeshi la polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya agizo hilo, taarifa zilitolewa kuwa Niffer ameshapatikana na yuko tayari kushirikiana na mamlaka husika.
ππππππmpaka hapo ashakwama.ndio nimemshangaa Jen anavyosema kuchangisha kimemfanya awaze kuanzisha Niffer foundation
Wanawavusha wanafunzi barabaraTanzania Red Cross wanafanya kazi gani?
Imenikumbusha Fataki alisema maneno kama haya"Kwanza kabisa, Alhamdulillah, namshukuru sana Allah kwa kunipa nafasi ya kuiona siku ya leo. Kwa kweli, ni jambo kubwa sana kwangu kuona Waziri Mkuu wa nchi yangu ametaja jina langu mbele ya hadhara ya watu mashuhuri. Hii ni ndoto kubwa iliyotimia kwa ulimwengu wa roho."
Kungekuwa na sheria za wazi na zinazojulikana kuhusu fundraising.Ujanja mwingi huwa unaambatana na ujinga mwingi, maana hata hapo majibu yake yanasadifu, angeomba tuu radhi kwa mtazamo wangu.
Akili za kuambiwa changanya na zako.Kati ya Niffer tapeli na sisi tunaotaka alipe kodi ni nani mwenye roho mbaya?