Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

Kitoto kijinga hiki,kinajipiga kifua sasa
Mwana umleavyo ndivyo akuavyo. Ameshazoea Kuona ................... Zao Sasa anawatunishia kifuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£........
Nakumbuka mwamba Magufuli kule mwanza gerezani mfungwa alisema yule askari anawanyanyasa , yule askari kuulizwa anasema Magu labda amekuja ili yeye ainuliwe.... Wewe we we we kuliwaka moto.....
Sasa haka katoto nani wa kukawashia moto????
 
Eti kunitaja na nimejisikia faraja,unamjibu waziri mdandaoni kwa herufu kubwa,Unamfokea! Mh
 
Duh huyu ana utoto sana . Anajua nguvu ya Waziri Mkuu ? Amewezaje kuandika hivi baada ya Tamko la waziri mkuu ? Hii ni dharau kubwa sana !
Yuko kwenye denial haoni kama alichofanya ni koşa na kinaweza kumtia hatiani!
 
Imenikumbusha Fataki alisema maneno kama haya

Anyway watu hukosa imani na serikali kwakuwa walijifunza kwenye tukio la tetemeko la ardhi Bukoba
 
Ujanja mwingi huwa unaambatana na ujinga mwingi, maana hata hapo majibu yake yanasadifu, angeomba tuu radhi kwa mtazamo wangu.
Kungekuwa na sheria za wazi na zinazojulikana kuhusu fundraising.

Mfano, kuna nchi zinataka mtu anayechangisha awe na foundation na awe anaripoti mapato na matumizi wazi kwa taasisi ya kukusanya kodi na kwa wananchi.

Ni kweli kwamba kutojua sheria si excuse ya kuvunja sheria, lakini pia, sheria isiyojulikana ikivunjwa ni rahisi kwa wananchi kumuonea huruma aliyevunja sheria.

Zaidi, jamii yetu imekaa kuhukumiana zaidi ya kusaidiana. Mtu kama Niffer angeunganishwa tu katika efforts za serikali za kukusanya michango.
 
Kati ya Niffer tapeli na sisi tunaotaka alipe kodi ni nani mwenye roho mbaya?
Akili za kuambiwa changanya na zako.

Wabongo tunakasumba ya kumchukia mtu pasipo sababu yeyote ya msingi. Na hasa akiwa amepiga hatua flani hua tunatamani kumrudisha alikotoka

TRA kutwa Kila siku wanazunguka madukani wewe unavyohisi hawajawahi mfikia dukani kwake?

Ishu ilikua anavunja bei, baadhi ya washindani wake wakaona anaharibu soko ndo wakatoa na izo shtuma.
 
1. Kutokujua Sheria siyo utetezi mbele ya Sheria.

2. Huyo Jennifer (sijuwi Nifa) anadai kwamba kabla ya kuanza kuchangisha aliomba kwanza muongozo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa.

Je, alipata muongozo upi from the RC?
Je, RC alim-mislead Nifa?

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…