Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150


Anatumia urithi wa bibi afu anatujaza kapambana mwenyewe mxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yeye aseme ukweli si wa kwake kwani kuna mtu anamsaidia aseee
 
Mama K si alijiweka kwa boss wa Simba wa bahari hivi waliishia wapi?
Yule ni danga lake kuu, hawaachanii, unadhani jeuri na bata zote mjini anapata wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hukuwezaa kuhimili mahitaji yakee??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anatumia urithi wa bibi afu anatujaza kapambana mwenyewe mxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yeye aseme ukweli si wa kwake kwani kuna mtu anamsaidia aseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.
 
Namjua kwao walikua na dhiki sana.
Na kuna kale kengine ka chotara ka kiarabu Sajna sijui kama sijakosea jina anacheza bongo movie pia vixen, nimekabeba sana Kigamboni miaka ya 2000 mwanzoni. Mjomba wake alikua mvuvi. Tuwaache tu hawa madogo wamesota sana. Hakuna apendaye dhiki.

Halafu kuna siku nimeona mdada mzuriiiii kama chotara hivi anauza ice cream za Bakhresa zile wanazobeba mgongoni. Aisee I wish ningemuona tena huyo mrembo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…