Kuna shangazi mmoja Gym imemuharibu badala ya kua sexy lady amekua baunsa hadi anawatisha sponsors [emoji23][emoji23] sema 'sajari' ipo mashangazi tutaenda kila pembe ya dunia kubadili muonekano ili mradi tusipitwe na soko
Kama kuuza uchi ni kua tajiri wale wa Kimboka na Wahaya wenye vijumba vyao si wangekua matilionea kabisa.... Kuhongwa kupo je akili ya kutumia kile unachohongwa unayo??? Hapo ndipo mabinti wengi wanapofeli.
Niffer kwani ni muhaya ?
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
Watu wanadhani kudanga ni Kazi rahisi sana, like unalala, unapanua mapaja halafu basi🤣🤣🤣🤣Kama.mnahisi kuhongwa ni rahisi tafuteni nyie madanga wawahonge tuache husda na wivu mwenzetu kashatoboa kama unaona njia rahisi na wewe unaweza fuata nyayo.
Karibu sanaBro nakuja kuchukua iphone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu ni mwema kila wakatimimi nimeota tu mambo ya biashara juzi usiku, nimeweka juhudi jana tu leo ninavoongea hivi nina bilioni mbili hivo juhudi na kujituma tu na kuacha kuandika ujinga mitandaoni
Hiyo ndio shida, huwa hawatumbii ile kitu iliyomtoa kwenye uchuuzi ikamfanya kuwa juu. Hakuna anaesemaga hilö dili möja au hiyo kafara moja iliyombadilishaKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana
Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.
Me nilikua tu na wazo la biashara, sikua hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
Si atapata mwengine labda achakae kama wema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee subiri sponsa amuachee, afu uone km ata survive,
Tunamjua bhanaaa.
Hahahah inawezekana, biashara imaniLabda kama alipata danga lenye ukwasi mkubwa.
Bongo ngumu sana kufanya biashara halali na kuwa na mamilioni ya pesa.
Hahahah wahuni sio watu🤣Soko gumu sana sikuhizi, vitoto vya 2000 ni moto sana. Toto dogo tako kubwaaa, tumbo flati, zigo kubwaa lainiii 😂😂 jeupee. Pia wanaume wengu sikuhizi wanaishi kwa bajeti ni mwendo wa puli tu lazima soko liwe gumu kwako dronedrake
Kama alidanga sisi tutajuaje? Aache kuwananga wanwake wenzake; kila mtu ana njia yake ya kufanikiwa kimaisha.
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
Bongo ukifanya biashara kwa njia za halali hutoboi.Hongera zake aisee
Ukiwa na uwezo wa kujichetua bongo unatoboa
Kama alidanga sisi tutajuaje? Aache kuwananga wanwake wenzake; kila mtu ana njia yake ya kufanikiwa kimaisha.
Hahahahah na hela za DC zinateketea kila sikuSio wote bhana, mbona mimi nina duka na sina bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NakaziaWanawake ni rahisi sana kufanikiwa,kitu muhimu ukamie.Huyo dada kasisitiza watu waache kufuatilia maisha ya WATU.Hapo aliposisitiza,ndiyo pa muhimu.Wolper,Aunt Ezekiel,Wema,Irene Uwoya n.k,ukiwauliza wanafanya nini mjini,watakwambia wanapambana ila sasa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mzee wa vikao, ndo konkodii mwenyeweee.Wewe mpk mzee wa vikao nae ana basha wake?![emoji134][emoji134]
Bas hataree, wanaume wanaisha tutakazwa na kina nani sasa?!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo aache kudanganya watu, anajistukia nn.