We nae utakuwa ni kashangazi kapya,hujafikia ushangazi kindakindaki😂😂😂😂Mashangazi tunashinda gym siku hiz, tumegoma kuzeeka. Hao chipukizi watatukuta tu bado tuko hot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni watu wenye roho za uchungu,Wema na Irene Uwoya wanawadiss kila siku hawaana akili anahongwa anashindwa kufanya maendeleo...katokea mwenye akili anafanya maendeleo wanadiss tena!Watanganyika wengi wanapenda kusikia mtu anateseka kuliko mazuri yake. Huu ndo uchawi wenyewe.
Kama kahongwa au anajiuza wengine wanafeli wapi?
Niffer alikua anauza icecream za Bakharesa wale vijana wanaotembeza wamebeba mgongoni labda ndiko alipatia huo mtaji wa elfu 40 akaenda kuuza wali kariakoo na sasa anamiliki duka kubwa la nguo.
Hata hivyo binti ni mpambanaji apewe maua yake, hayo mengine ni kufikishwa tu kwenye mafanikio tunasema alibebwa akabebeka sio kama wakina fulani ishakua mishangazi lakini inamiliki Macho Matatu na K tu.
Mwambie ukweli, si ulikuja home?Humu humu jf kuna kona nilimkuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alikuja nyumbani kwangu
Woi wewe umeona hata alipokuja amenisalimia?Bro unataka kunigombanisha na sis angu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sis anakurusha roho huyu bwana shemeji
Mwambie ukweli, si ulikuja home?
Unanikana hadharani sasa jmn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Bro nakuja vipi kwako bila ya kufanya mawasiliano na sis kwanza
Woi wewe umeona hata alipokuja amenisalimia?
Acha ninyamaze mimi
Unanikana hadharani sasa jmn?
Kwali ulikula soseji yake?[emoji23][emoji23][emoji23] Utafanya nikose dinner wewe!! Sis atajua me sio muaminifu
Kwali ulikula soseji yake?
Unakataa wakati ulisahau mtandio na ameutambua?[emoji1787]