Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Hapo kati
 
Inawezekana kwa wanomfuatilia huyu dogo ni mpambanaji sana anauza online zaidi na kila muda yupo anapost bidhaa tofautitofauti hana bidhaa za aina fulani kila kitu anauza..
Biashara ya hivi wamefanya sana hadi akina Elizabeth Michael akina Kajala na akina Mobeto na kina Masogange pia.

Mimi sipingi kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…