cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wastaafuu wataziona hela kwenye maandishi ktk karatasii, note halisi wanakamata watoto km kina niffer, afu wanatoka nje kuwasimanga mabinti zao.[emoji23]
Ndio maana samia anaona atuuze tu. Nchi ina watu wa hovyo. Mtu anapata kazi nssf, badala ya kuwapa wastaafu hela zao, yeye anahonga hela kwenye tako kubwa [emoji23][emoji23][emoji23]. Nawaonea huruma wastaafu Mungu awape nguvu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaumajeee