Nigeria: Mwanamke wa Miaka 40 ajifungua Watoto Sita kwa mpigo baada ya miaka 20 bila kuwa na Mtoto

Nigeria: Mwanamke wa Miaka 40 ajifungua Watoto Sita kwa mpigo baada ya miaka 20 bila kuwa na Mtoto

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Furaha imetanda katika Kaya moja nchini Nigeria ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 40 amejifungua watoto 6 ikiwa watatu wa kiume na watatu wa kike baada ya kupita miaka zaidi ya 20 tangu alipopata mtoto wake wa kwanza.
1726727608414.png
Kuzaliwa kwa watoto hao kulitangazwa katika video iliyosambazwa TikToka na mtoto wa kwanza wa mwanamke huyo akionyesha furaha yake kubwa ya kuongezeka kwa familia yao.
"Nimekuwa mtoto wa pekee mama yangu alinizaa wakati wa ujana wake na akaolewa miaka 8 iliyopita, na tangu wakati huo amekuwa akitafuta kwa kila njia lakini mwishowe Mungu alionyesha, ametupa 6, wavulana 3 na wasichana 3. Kile ambacho Mungu hawezi kufanya hakipo" — Ameandika mtoto wa kwanza wa Mama huyo

Soma: Nigeria: Mwanamke ajifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa bila mtoto
 
Back
Top Bottom