Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

China wameanza kuingia mikataba ya viwanda vya silaha Saudi Arabia, na wameahidi kuwauzia na technology (know-how) ya kujikinga dhidi ya makombora.

Russia aliuza technology kama hiyo kwa Uturuki.

USA nao kwa kujifanya wapo rafiki na waislamu for the first time Ramadhani hii wamewatengeneza Maimamu wa kuongoza Ibada ya Swala ya tarawehe Times Squares openely. Na futari imegawiwa bure mwezi mzima.

Kuna kamchezo huenda huko mbele waislamu wakatumiwa kama mtaji na Super Powers.
 
Kwahiyo point yako nikwamba, waarabu wa sasa wote ni wajinga, na sio wale walioukataa uisilamu enzi za mitume!!
Waarabu wa nyakati zote ni wajinga. Dini iliwaondolea baadhi yao ujinga waliokuwa nao. Lakini kwa bahati mbaya dini hiyo hiyo imeshindwa kuwatoa th3 majority kwenue upotofu.
 
Kuwa wengi Tu watakuwa ......maana wake wa4 sio poa.......tatizo shule ......waislamu wengi ni maamuma hata akisoma ajui kuishi kishule shule yaani yupo kama kazaliwa porini....
 
Kweli ni hatari sana mambo yanavyokwenda uislam utaiteka Ulaya na itakuwa shida kuu kama alivyotabiri Nostradamus miaka zaidi ya 400 iliyopita.
 
Kama ndivyo basi hili lapaswa kuwa funzo kwenu,

kama nawao wangeamua kutoruhusu uhuru wa imani nyingine kama ninyi mnavyofanya kwenye nchi za kiislam basi Leo usingekuja na hizi story
 
Qur'an ilishaeleza wazi siku za mwisho watu wataingia katika dini ya haki makindi kwa makundi...... By the way ni kweli kabisa ulaya makanisa mengi yanakua misikiti siku hizi

Unateseka mzee baba?
 
Nchi za kiarabu Kwa miaka ijayo sio tishio Kwa population kubwa, tishio ni huku Afrika,
Wazungu sio wajinga kuwekeza Afrika katika Taasisi za kidini.

Dini haisambazwi au kukua Kwa kuzaliana pekee, Kama ingekuwa ni hivyo Wabudha ndio ingekuwa dini kubwa Duniani.

Kinachofanya Dini iwe na wafuasi wengi ni Sera na sheria zake zinazoendana na Dunia ya sasa.
Dini ambayo ipo Flexible sio dini ya kizamani ambayo inataka watu wa sasa waishi Kama watu wa Enzi hizo ambazo hazikuwa hata na TV
 
Uislamu ni hatari sana kushamiri MI6 Scotland Yard FBI CIA nk wafanye juu chini ku thwart hii dini vinginevyo tutakuja kushuhudia watu wakikatwa vichwa mbele ya bukingham Palace!
 
Ulaya ipi unavyoizungumzia hii ambayo ni makao makuu ya Papa Francisco au
 
Sijakuelewa
 
Hizi habari amewaambia nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijakuelewa

Ni mjinga tuu atakayeona Dini itakua na kuenea Kwa watu kuzaliana wengi Kwa Karne hii ya 21.

Dini ni sio kabila au utaifa,

Wakristo wanajiamini Dini Yao inasera, kanuni na sheria nzuri ndio maana huwezi sikia kwenye za kikristo Zama hizi wakileta udikteta WA kijinga Bali huwapa watu Uhuru wa kuabudu miungu yao.

Lakini dini zingine kisera, kanuni na sheria hazi-meet demand za Zama hizi ndio maana zina-udikteta mwingi WA kijinga.

Dini ni uchaguzi binafsi na sio lazima,
 
Yote yalitabiriwa.
Mpinga kristo ataiteka dunia siku za mwisho
Miaka 7 billion ijayo ndio mwisho wa dunia na binadamu tunajua in 2 million yeah anaweza asiwe wa sasa hv
 
Nchi za kiarabu Kwa miaka ijayo sio tishio Kwa population kubwa, tishio ni huku Afrika,
Soma na kuelewa maada vizuri mkuu, zinazungumziwa nchi za ulaya sio za kiarabu.

Dini haisambazwi au kukua Kwa kuzaliana pekee, Kama ingekuwa ni hivyo Wabudha ndio ingekuwa dini kubwa Duniani.
Nani aliekudanganya hivyo ? waislamu wengi ulaya wanazaliana watoto 4 hadi 6 kwanini wasijae kuzidi wazungu ambao wanazaa mtoto 1, kuoana jinsia sawa, kubadilisha jinsia , n.k.... hao wabudha misingi yao haijajikita sana kwenye kuzaliana, wao wakizaa mtoto 1 au wawili wameridhika.

Kinachofanya Dini iwe na wafuasi wengi ni Sera na sheria zake zinazoendana na Dunia ya sasa.
Yawezekana huna dini ama una dini tu kwasababu uliikuta kwa wazazi wako, "sheria zinazoendana na dunia ya sasa" !! hapa rudi kwenye fani yako ya fasihi, dini huku huna ujuzi wowote

Dini ambayo ipo Flexible sio dini ya kizamani ambayo inataka watu wa sasa waishi Kama watu wa Enzi hizo ambazo hazikuwa hata na TV
hivi unaongea nini wewe !! 🧐🧐
 
Ni swala la muda tu kabla waisilamu wote hawajabadilishwa na kuwa watu wa anasa na na kuachana na ibada.
Ukiwa ulaya ndio unaelewa Nini maana ya kuwa huru..
Mleta mada kuna kitu either hatambui ama ameamua kwa makusudi kuleta propaganda..
Wamagharibi wana ajenda ya kuifanya hii imani kuwa ya kisasa na utandawazi..Waislamu wa Ulaya na Marekani huwezi amini kuna idadi kubwa tu washaanza ku"tolerate" na homosexuals..Kitu ambacho miaka 20 nyuma usingeweza kukuta.
 
 
kwani Askofu Gwajima bado hajalipatia ufumbuzi hili suala!? Au alipata suluhu kwa hapa bongo tuu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…