Niichukie ipi kati ya Mercedes-Benz C 220 Na BMW M3

Niichukie ipi kati ya Mercedes-Benz C 220 Na BMW M3

Kutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.

Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
 
Volvo kwa safety wanaongoza siku zote, kwanza ndiyo sifa kuu ya Volvo, tatizo lao lilikuwa kwenye design, ila sasa hivi baada ya kununuliwa na geely ya Uchina wamepata fedha na kuwekeza kwenye design, engine, fun driving na mengineyo na haya matoleo ya sasa hivi wamejitahidi sana, ingawaje siwezi kusema kwamba wamefikia level ya German Big 3 yaani Mercedes, BMW na Audi, hapo bado sana, lkn wako vizuri!

Unaweza kusema kwamba kama ukishindwa Mercesdes, BMW au Audi basi kama altenative unaweza kuchukuwa Volvo, Jaguar au hata Renault talisman pia iko poa!
Basi hapo tunapotofautiana mkuu... Kwenyw gari naangalia interior na safety... Hata tukirud kwenye transit volvo wana vichwa vitam sana sema ndo vile mjeruman alishafanya yake since enzi za Hitler.
 
Gari Kali sana, Ina option ya kutumia umeme tu Na betri yake imefungwa katikati ya gari. Tank lake ni Lita 50 tu
Acha kabisa mkuu... Interior sasa siti zake zipo so glossy na liquid si zimesimikwa tii kama mstimu wa umeme. Na ina safety control ya uhakika... Ukijasahau ukawa res afu kuna gar inakatiza... Fastaa inapunguza speed insatantly.. [emoji593]
 
Basi hapo tunapotofautiana mkuu... Kwenyw gari naangalia interior na safety... Hata tukirud kwenye transit volvo wana vichwa vitam sana sema ndo vile mjeruman alishafanya yake since enzi za Hitler.


Ya mwisho wa siku ni swala la ladha, na ladha kila mtu ana yake, kuna watu wanapenda toyota Lexus na kwamba wanaamini ndiyo bora wengine wanapenda Ford au Renault, lkn cha muhimu ni kwamba hata Volvo wenyewe au Jaguar wanaona BMW kama Standard yao, yaani wanatengeneza Magari yao kushindana na BMW lkn BMW hatengenezi kushindana na Volvo au Jaguar bali atashindana na Mercedes Benz au Audi!

Volvo wenyewe hata matangazo yao huuliza, is it better than BMW au can it bit BMW? Lkn BMW hawaulizi can it bit Volvo? Ina maana Volvo au Jaguar wenyewe wanajua kwamba kipimo chao ni BMW lkn kwenye swala la uamuzi ni ladha yako tu!
 
Hivi ni Mimi ndo sijaelewa iyo heading au typing error ...chukia BM mama
 
Acha kabisa mkuu... Interior sasa siti zake zipo so glossy na liquid si zimesimikwa tii kama mstimu wa umeme. Na ina safety control ya uhakika... Ukijasahau ukawa res afu kuna gar inakatiza... Fastaa inapunguza speed insatantly.. [emoji593]
Whaooh
 
Kutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.

Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
Wachawi tu hao
 
Kutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.

Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!
 
Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa usawa huu wa magufuli una pesa kweli au unazingumzia magari ya kwenye game.
 
Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
Hatin on a niqqa that is the weak emotion......
 
Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!
fact!
 
Back
Top Bottom