Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fuga kwa route za mjini ilikuwa inakula litre 1 kwa km ngapi???Kama unaanza kuulizia habari za wese ni bora tu uchukue vibaby wolker yasije yakakukuta kama yangu kutoka kwenye nissan fuga mpaka mpaka Premio
Sio kwa sasa.. Volvo wana gari imara na nzuri sana.. Mwaka jana gari yao ya xc90 iliipiku audi q7 na kuwa rated as safest car of the year.. Mie mwenyewe nikiwa na mavumba yangu ya kutosha namchukua volvo kama zlatan the lion[emoji4]Kuwa same class inategemea na mengi hata kuna baadhi ya Hyundai wanasema ni same class na Mercedes, lkn BMW na Jaguar ni mbingu na nyota, ingawaje wanajaribu kuiga BMW lkn bado sana, BMW wameshaestablish kama Alternative ya Mercedes kwa muda mrefu sana, Jaguar bado wana safari ndefu!
Kwanza hata Volvo wanatoa gari kali kuliko Jaguar kwa sasa!
Sio kwa sasa.. Volvo wana gari imara na nzuri sana.. Mwaka jana gari yao ya xc90 iliipiku audi q7 na kuwa rated as safest car of the year.. Mie mwenyewe nikiwa na mavumba yangu ya kutosha namchukua volvo kama zlatan the lion[emoji4]
Mbona mimi namiliki hiyo lakini soon nitakuwa mswisi, how can u justify u a comment? Haina mashikoAlex ni magari kwa ajili ya watu low Class
achukue Zima motoChukua Trekta ili ikusaidie kilimo!
Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!achukue Zima moto
Wanakwambia "It's not where you are from that matters, it is where you are".Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
Hata mchawi hasahau kwao....Wanakwambia "It's not where you are from that matters, it is where you are".
Haters mpo everywhere. Daima hampendi MTU apate kitu kizuri. Nyie ni wachawiWatu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
Utarogwa Na Wana JamiiForums wao wanapenda Kila MTU awe masikini Na asiwe Na gari zuriSio kwa sasa.. Volvo wana gari imara na nzuri sana.. Mwaka jana gari yao ya xc90 iliipiku audi q7 na kuwa rated as safest car of the year.. Mie mwenyewe nikiwa na mavumba yangu ya kutosha namchukua volvo kama zlatan the lion[emoji4]
Poa poa...uje basi na ka baby ka rangi ya malkia ili apendezeshe BMW yako!Haters mpo everywhere. Daima hampendi MTU apate kitu kizuri. Nyie ni wachawi
+255715276827Nipe namba yako ya simu
My love hebu soma hii heading kwa makiniAirport fire service
My favourite is BMW M3 lakini wanajf wakanipush kwenye 3series. 3 series ni ndogo Na sizipendi. Mi nataka M3My love hebu soma hii heading kwa makiniView attachment 661607
Gari Kali sana, Ina option ya kutumia umeme tu Na betri yake imefungwa katikati ya gari. Tank lake ni Lita 50 tuSio kwa sasa.. Volvo wana gari imara na nzuri sana.. Mwaka jana gari yao ya xc90 iliipiku audi q7 na kuwa rated as safest car of the year.. Mie mwenyewe nikiwa na mavumba yangu ya kutosha namchukua volvo kama zlatan the lion[emoji4]
Hakuna shida kwenye hilo hebu soma tena hii headingMy favourite is BMW M3 lakini wanajf wakanipush kwenye 3series. 3 series ni ndogo Na sizipendi. Mi nataka M3