Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
1 litre ni kama km ngapi kwa foleni za DSM?
ww unasema sio wa low class alafu unaulizia habar za 1ltr km ngap, napata mashaka makubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1 litre ni kama km ngapi kwa foleni za DSM?
Mtu anataka kununua BMW alafu anaulizia ulaji wa mafuta, hakuna mnunuaji wa gari hapo,
yap..... kutoka Land RoverJaguar ndio kali zaidi kama ww ni mpenzi wa gari kutoka ulaya
Sawa its economical lkn Umwambie pia maintainance costs ya Engine ya Diesel sio mchezo kulinganisha na ya Petrol.Kwa yoyote utakayochagua tafuta gari ya diesel..
Hahah mkuu humu ndani wanachanganya BMW M3 vs Bmw 3 seriesHakuna BMW M3 ya diesel hata moja huku duniani
BMW M3 its not an ordinary BMW, hio ni hatari sidhani kama unahitaji M-Power kwa ajili ya kutembea barabara za Bongo zote. Its too much. Kama ni BMW chukua ya kawaida BMW 3 series na sio M3.Naamini hapa JamiiForums kuna wataalam wa magari Na wabobezi mlio bobea. Niko UK kwa Malkia Na nimehitimu vyema masomo yangu.
Nataka kurudi January nchini Na nataka nirudi Na Usafiri wangu wa kunimuvusisha from point A to B. Je nichukue gari gani kati ya Mercedes Benz C 200 Na BMW M3 3series?
Ipi ni nzuri kwa barabara zetu za uswahilini, fuel consumption, availability ya spares Na durability. Bila kusahau swagga Na mtama nikiwa na cruise
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Huyu mnyama ni habari ingine kabisa mkuu wanguRange Rover Velar
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kwa sauti ghaflaLand Rover defender kwani nafanya Doria?
Kweli...huyu ni Corolla, Carina TypeMtu anataka kununua BMW alafu anaulizia ulaji wa mafuta, hakuna mnunuaji wa gari hapo,
Huyu starlet ndio type yakeKweli...huyu ni Corolla, Carina Type
Gari ya diesel ni nzuri kwa utumiaji wa mafuta lakini service yake iko juu kidogo, na ukileta ubahili itaku-cost big time ila ya petrol haina mambo mengi service simple.Nimeuliza ili nijue. Hata mshana jr nimemuuliza service ya gari ya diesel inahitaji nini Na nini? Napenda nijue vitu vya msingi
Tofauti na hayo mambo ya service, gari ya diseal ina faida gani compared to petrol car?Gari ya diesel ni nzuri kwa utumiaji wa mafuta lakini service yake iko juu kidogo, na ukileta ubahili itaku-cost big time ila ya petrol haina mambo mengi service simple.
Gari ya diesel kila service lazima ubadili diesel filter,air filter wakati gari ya petrol sio lazima ubadili petrol filter au air filter.
Faida yake ni miles per galon...yaani inakupa km nyingi kwa lita...diesel lita moja itakwenda 19km wakati petrol itakwenda 12km. Unaokoa hela.Tofauti na hayo mambo ya service, gari ya diseal ina faida gani compared to petrol car?
Ni sawa kabisa, Sio watu wote ni wazoefu wa magari japo uwezo wa kununua upo.Mtu anataka kununua BMW alafu anaulizia ulaji wa mafuta, hakuna mnunuaji wa gari hapo,
Poapoa mkuu!.....ila kuwa na huruma na watoto wa JF,Mungu anakuona ujue!Faida yake ni miles per galon...yaani inakupa km nyingi kwa lita...diesel lita moja itakwenda 19km wakati petrol itakwenda 12km. Unaokoa hela.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtu anataka kununua BMW alafu anaulizia ulaji wa mafuta, hakuna mnunuaji wa gari hapo,