BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Noticed....!!!Kutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.
Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
Basi hapo tunapotofautiana mkuu... Kwenyw gari naangalia interior na safety... Hata tukirud kwenye transit volvo wana vichwa vitam sana sema ndo vile mjeruman alishafanya yake since enzi za Hitler.Volvo kwa safety wanaongoza siku zote, kwanza ndiyo sifa kuu ya Volvo, tatizo lao lilikuwa kwenye design, ila sasa hivi baada ya kununuliwa na geely ya Uchina wamepata fedha na kuwekeza kwenye design, engine, fun driving na mengineyo na haya matoleo ya sasa hivi wamejitahidi sana, ingawaje siwezi kusema kwamba wamefikia level ya German Big 3 yaani Mercedes, BMW na Audi, hapo bado sana, lkn wako vizuri!
Unaweza kusema kwamba kama ukishindwa Mercesdes, BMW au Audi basi kama altenative unaweza kuchukuwa Volvo, Jaguar au hata Renault talisman pia iko poa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utarogwa Na Wana JamiiForums wao wanapenda Kila MTU awe masikini Na asiwe Na gari zuri
Acha kabisa mkuu... Interior sasa siti zake zipo so glossy na liquid si zimesimikwa tii kama mstimu wa umeme. Na ina safety control ya uhakika... Ukijasahau ukawa res afu kuna gar inakatiza... Fastaa inapunguza speed insatantly.. [emoji593]Gari Kali sana, Ina option ya kutumia umeme tu Na betri yake imefungwa katikati ya gari. Tank lake ni Lita 50 tu
Basi hapo tunapotofautiana mkuu... Kwenyw gari naangalia interior na safety... Hata tukirud kwenye transit volvo wana vichwa vitam sana sema ndo vile mjeruman alishafanya yake since enzi za Hitler.
WhaoohAcha kabisa mkuu... Interior sasa siti zake zipo so glossy na liquid si zimesimikwa tii kama mstimu wa umeme. Na ina safety control ya uhakika... Ukijasahau ukawa res afu kuna gar inakatiza... Fastaa inapunguza speed insatantly.. [emoji593]
Wachawi tu haoKutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.
Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!Kutokana na comments za huu Uzi, nimegundua watu wengi sana wapo so negative, yani mtu kutaka kufahamu vitu basic kuhusu gari anayotaka kama consumption ya wese na service, amekuwa hana uwezo wa kuchukua gari hiyo.
Anyway BMW itapendeza ni ndinga nyoko.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa usawa huu wa magufuli una pesa kweli au unazingumzia magari ya kwenye game.
Mzee naskia et unapush discovery 5Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!
Hatin on a niqqa that is the weak emotion......Watu wana mbwembwe bwana...utakuta kazaliwa Wanging'ombe huko kasoma Idodi shule ya msingi Sekondari kasoma Ifakara na chuo kaenda Mpuguso ila Mungu kamkunia nazi kapata boya alompeleka kusomea cheti cha namna ya kufundisha hisabati bila kuwakera wanafunzi kwa week mbili halafu anakuja na hizi hadidhi za ''bara bara za huko zikoje'' ninunue BMW ama BMWY ptuuuuuuu!
Hii sentensi ipo wakati gani? Na sarufi uliyotumia si ya nchi ya malkia ha ha haaa...Hatin on a niqqa that is the weak emotion......
fact!Ukitaka utukanwe humu JF zungumzia vitu vizuri, magari mazuri etc sijui hata inawauma nini watu! Ila ukitaka upate support na likes nyingi andika kuwa una shida sana hujala tangu jana!