Ni huyohuyo tu, sisi wengine hatuna bad moodsHello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,
Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Cheki na lemutuz ndio babu sugu humu kadivorce toka mkapa rais hadi leo yupo downtwnHello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,
Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Hello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,
Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Ahsantee 🖐️Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi
Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,
Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia 💯 kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana 😋😋
Kajaribu bahati yako unaweza ukaolewa. Una miaka mingapi kwanza? Hatuoi wenye watoto sisiHello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,
Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Mweh!!Yaani ni pasua kichwa Hao.ujue nini ynakuwa na hamu ya ndoa mwenzako Ametoka hataki hata kuisikia tena Sema papuchi yako anaitaka.yaani utateseka hatare.bora alofiwa na mke.at least yeye ndoa alikuwa anaitaka Sema tu mapenzi ya Mungu' huyu unaweza muenjoy kidogo
Wanaume divorced halafu awe broke hata umpende vipi hailipi.used used tu yaani
Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi
Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,
Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia [emoji817] kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana [emoji39][emoji39]
I divorced miaka 5 iliyopita, ilinichukua muda sana kujirudi na kukubali kuanzisha mahusiano ila nilipopona, nikaingia mazima. Mpaka sasa ninao wake wawili na bado natarajia kuongeza wengine.
It is a process, depending on how the relationship ended and what caused it, some divorce are just too traumatising. Give him time.
Swali zuri kila la kheri, muhimu mpe sex ya kibabe mleweshe sex mpe mupe muwezee, mfanye kichwa chako, unyenyekevu na utii.Hello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,
Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?