Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Pole sana...
Katikati ya game anamkumbuka ex wife...
 
Hello wana JF,

Imetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vipi maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,

Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Hakikisha Unampa papuchi 24/7 na unajituma haswa ..ili usikose Number kwenye kikosi...
Bado anaendelea na mchakato....na hiyo ndo ticket ya kwenda Quatar
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana sijawahi muomba, ila sidhani kama ni muda sahihi kumuomba kwa sasa maana bado ana adjust na maisha baadda ya divorce since aliacha almost kila kitu kwa past mke
Ndivo alivokudanganya??
 
Yaani ni pasua kichwa Hao.ujue nini ynakuwa na hamu ya ndoa mwenzako Ametoka hataki hata kuisikia tena Sema papuchi yako anaitaka.yaani utateseka hatare.bora alofiwa na mke.at least yeye ndoa alikuwa anaitaka Sema tu mapenzi ya Mungu' huyu unaweza muenjoy kidogo
Wanaume divorced halafu awe broke hata umpende vipi hailipi.used used tu yaani

Umezunguuuuuuuka weeee,,, kumbe point yako ni PESA tu..

So divorced mwenye hizo sifa akiwa na pesa analipa?
 
hapana sijawahi muomba, ila sidhani kama ni muda sahihi kumuomba kwa sasa maana bado ana adjust na maisha baadda ya divorce since aliacha almost kila kitu kwa past mke

Na usimuombe Bint.

Ukimuomba atakuacha
 
Yaani ni pasua kichwa Hao.ujue nini ynakuwa na hamu ya ndoa mwenzako Ametoka hataki hata kuisikia tena Sema papuchi yako anaitaka.yaani utateseka hatare.bora alofiwa na mke.at least yeye ndoa alikuwa anaitaka Sema tu mapenzi ya Mungu' huyu unaweza muenjoy kidogo
Wanaume divorced halafu awe broke hata umpende vipi hailipi.used used tu yaani
Sio kweli, mm ni mhanga na nilioa tena, hapa nina almost 10 yrs na maisha yanekwenda smooth.
 
Kama aliachwa kisirani chake sio cha nchi hii. Aliefiwa ndio option nzuri, ila kama mke wake ndio alikuwa mke haswa pia jiandae.

Lakini kama kuna watoto pia jiandae kisaikolojia maana hapo hutodili na visirani vya baba tu, bali na vya watoto pia.

All in all, we all need true love.
 
Usije ukamkorofisha kipindi hiki...Utaachwa bila Talaka.
 
Hapo lazima uwe a step ahead.

Ukute yupo kwenye rebound tu ya mapenzi hakuhitaji ila hataki kuwa alone, alishazoea kamlani ya ndoa.

Sasa jishaue beba na kamimba juu. Na hajakupa muongozo huo. Atakufurahisha na sisi kina Karucee tutakuzomea.

Au umemind?Kama umemind njoo tupigane nina mood ya kuparuana kabla ya Ramadhan kuanza. 😁😁😁🤣🤣🤣🤣 silly me.
 
Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi

Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,

Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia 💯 kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana 😋😋
Ila mimi hujawahi nidekeza kama mtoto. 🙆
 
Miaka minne since devorce!,bado hataki kufanya commitment,huyu atakuwa aliachana na mkewe ingali anampenda so anashindwa kumove on...Muangalie kwa jicho la tatu huyu huwenda wewe sio choice yake,siku utashangaa anaoa mtu mwingine.

Na kweli ntakaa kwa kutulia nifanye maamuzi sahihi, asante kwa hint
 
Hapo lazima uwe a step ahead.

Ukute yupo kwenye rebound tu ya mapenzi hakuhitaji ila hataki kuwa alone, alishazoea kamlani ya ndoa.

Sasa jishaue beba na kamimba juu. Na hajakupa muongozo huo. Atakufurahisha na sisi kina Karucee tutakuzomea.

Au umemind?Kama umemind njoo tupigane nina mood ya kuparuana kabla ya Ramadhan kuanza. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] silly me.

Kwa hiyo mtanizomea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijamind bwana, thanks kwa kahint ila sitegemei kubeba mimba bado nausoma mchezo [emoji23][emoji28] isije ikala kwangu
 
Na ndo navyoona maana sio kwa visirani na kununa huku kwa kila mara [emoji2304] , hapo hatujafika ndoani [emoji28]
Pia usiwe unamuomba omba hela; ata kama anazo unatakiwa umuonyeshe, we ni mwanamke unayejitegemea; maana yake uko full package (unajiweza kimapenzi na fedha), usimfanye kuwa ATM
 
Kwa hiyo mtanizomea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijamind bwana, thanks kwa kahint ila sitegemei kubeba mimba bado nausoma mchezo [emoji23][emoji28] isije ikala kwangu
Dont mind me. Sometimes I like to be just silly.
 
Back
Top Bottom