Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Muendee kwa sangoma
Hello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,

Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
 
Umekaa ukaongea naye hizo hisia zako?

Wabongo wengi tunapenda sana kusikiliza ushauri toka kwa watu baki...

Yes, nimeongea naye several times na sometimes anakuwa sawa tunaenda vizuri ila sasa kipengele cha mood swings anaweza amka siku anabadilika kuwa hayupo ready kwa commitment, then the other day tuko sawa

Sasa sijui bado ndo mchakato wa kupona au vipi
 
Kusema kwamba nijitoe mapema au [emoji13][emoji13]
Hapana we mpigie shifting cultivation... bidilisha bilisha mazao (sio Kila siku chumbani kilekile na style ileile) Ili kulipa ardhi (penzi) rutuba mbalimbali siku mnatoka hata beach ,hotel , mbugani, hata anaoga unaifuata hukohuko imoooo ..yupo sebuleni umo ..... Hatotumia bush fallowing .... hahahaaaaaa. Nafikri umenielewa kiutu uzima sanaaa
 
Yes, nimeongea naye several times na sometimes anakuwa sawa tunaenda vizuri ila sasa kipengele cha mood swings anaweza amka siku anabadilika kuwa hayupo ready kwa commitment, then the other day tuko sawa

Sasa sijui bado ndo mchakato wa kupona au vipi
Unapoteza muda wako
 
uking'atwa na nyoka polini hata siku ukiona jani linatikisika lazima ushtuke,

1. Jitahidi ugundue shida ilikua nn mpaka wakaachana maybe kuna vitu unafanya vinafanana na vya ex wake inafanya anakua off mood
2. Check mawasiliano yake yawezekana bado anawasiliana na ex wake na ndo anamuweka on & off mood
3. Ukitaka kumpenda mtu mpende tuu ila jiandae pia kishi bila yy at any tym
 
Mprouve wrong bkuwa wanawake hampo Kama mwanamke Alie achana nae, mpe muda wako pale anapo kuhitaji, atapenda muwe karibu lkn usimbane bane ashindwe kujiachia , fanya kinyume na yule Alie pita kwa mabaya yake na fanya zaidi ya mazuri yake.

Usiwe na pupa kuwa mpole tu maana wakati unamfanyia hayo nae ni binadamu anaakili hivyo ataanza kukuchunguza na kupata maoni kutoka kwa wadau wake mbali mbali juu yako akipewa go ahead unawekwa ndani na kubwa kuliko Kama anawatoto wapende Sana ikiwezekana hata kushinda yeye hapa my dear lazima usajiliwe faster kwa kupitia mlango wa nyuma.

Na pale atakapo kukera usinyamaze muite umwambie taratibu kuwa amekukwaza au amekuumiza hii itakufanya usionekane mnafki.


Aisee sijui kwa nn natoa mbinu za kumteka mwanaume mwenzangu...... Nimecomenti but I hate this [emoji21][emoji21][emoji21]

Asantee mkuu, ila hana watoto
 
Yaani ni pasua kichwa Hao.ujue nini ynakuwa na hamu ya ndoa mwenzako Ametoka hataki hata kuisikia tena Sema papuchi yako anaitaka.yaani utateseka hatare.bora alofiwa na mke.at least yeye ndoa alikuwa anaitaka Sema tu mapenzi ya Mungu' huyu unaweza muenjoy kidogo
Wanaume divorced halafu awe broke hata umpende vipi hailipi.used used tu yaani
🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Anakupa hela!?!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana sijawahi muomba, ila sidhani kama ni muda sahihi kumuomba kwa sasa maana bado ana adjust na maisha baadda ya divorce since aliacha almost kila kitu kwa past mke
 
Yes, nimeongea naye several times na sometimes anakuwa sawa tunaenda vizuri ila sasa kipengele cha mood swings anaweza amka siku anabadilika kuwa hayupo ready kwa commitment, then the other day tuko sawa

Sasa sijui bado ndo mchakato wa kupona au vipi

Kama mmeshaongea na hakuna kilichobadilika basi amini kuwa hata sisi watu baki tukishauri vyovyote vile, hakuna kitachobadilika...

Ushauri, mpe muda au kubali matokeo na uridhike tu vile hali ilivyo...
 
Asante, ni kweli mahusano yake yaliyopita alikuwa na mke mtata, ia waliachana kwa makubaliano so haikuwa ngumu kukamilisha taratibu zote za kanisa na kisheria, ila nachoona ni kama bado ana uwoga wa kuzama mazima kwa mahusiano mapya ilihali ni zaidi ya miaka mi4 tanu waachane,

Dawa ni kumtreat well eee nadhani na kuwa patient labda, ntajitahidi maana nshampenda [emoji16]
Bila kusahau siku mojamoja unampitisha round about ya kigogo mkiwa mnaelekea kariakoo sio kila siku mnapitia Morogoro road.
Mzoeshe njia mbalimbali ili alijue jiji kwa haraka zaidi.
 
Hello wana JF,

Imetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vipi maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,

Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Punguza kiherehere halafu usimnyime ndogo hatakaa akuache
 
I divorced miaka 5 iliyopita, ilinichukua muda sana kujirudi na kukubali kuanzisha mahusiano ila nilipopona, nikaingia mazima. Mpaka sasa ninao wake wawili na bado natarajia kuongeza wengine.

It is a process, depending on how the relationship ended and what caused it, some divorce are just too traumatising. Give him time.
Kumbe ulikuja tambua kuwa tatizo ni kuwa na mbususu moja tuu🤣🤣🤣🤣
 
Hajakupenda bidada. Mwanaume anayekupenda hana visingizio endelea kuwa naye kama kujitolea tu ila usiweke asilimia kuwa ni wako. Halafu usitumie nguvu nyingi kumbadilisha anaweza kuwa sawa na chaguo lake likawa sio wewe. Ishi naye kawaida usi fake tabia kuwa wewe tu halafu acha mambo yajiset yenyewe.
Umenena Vyema.
 
Miaka minne since devorce!,bado hataki kufanya commitment,huyu atakuwa aliachana na mkewe ingali anampenda so anashindwa kumove on...Muangalie kwa jicho la tatu huyu huwenda wewe sio choice yake,siku utashangaa anaoa mtu mwingine.
 
Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi

Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,

Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia [emoji817] kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana [emoji39][emoji39]
Tumia ushauri huu ukiongeza na sababu za kumpenda utaweza kuishi naye
 
Yes, nimeongea naye several times na sometimes anakuwa sawa tunaenda vizuri ila sasa kipengele cha mood swings anaweza amka siku anabadilika kuwa hayupo ready kwa commitment, then the other day tuko sawa

Sasa sijui bado ndo mchakato wa kupona au vipi
Mmhh! Mbona kama hayupo serious? Jipe muda kwanza isije kuwa kakurupukia kwako kujipunguzia mastress ya kupeana talaka.
 
Back
Top Bottom